Food For Thought: Kuna tofauti gani kati ya Mamlaka, Tume pamoja na Bodi?

Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums.

Ndugu zangu Watanzania eti;

Kuna tofauti gani kati ya Mamlaka (Authority), Tume (Commission) na Bodi (Board)?

(1) Kwanini zamani ilikuwa Income Tax Department ila ikabadilishwa na kuwa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na sio Tume au Bodi?

(2) Kwanini Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) haikuundwa ikaitwa Authority, Board au Department?

(3) Kwanini Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) sio Mamlaka (Authority), Tume (Commission) au Department (Idara)?

(4) Kwanini moja inaitwa Idara ya uhamiaji (Immigration Department), nyingine inaitwa Mamlaka ya vitambulisho vya taifa (NIDA) na ya tatu inaitwa Mamlaka ya kupambana na dawa za kulevya (DCEA) ilhali zote zipo chini ya wizara moja ya mambo ya ndani ya nchi? Kwanini zote zisiitwe Mamlaka au Idara kwa maana zipo chini ya wizara moja?

(5) Kwanini ile inaitwa ni idara ya usalama wa Taifa na hii inaitwa taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU)? Kwanini zote zisiitwe idara au taasisi (idara ya kupamnana na rushwa au taasisi ya usalama wa taifa) kwa maana zipo chini ya wizara moja?

Kuna tofauti gani hapa wakuu?

NJE KIDOGO YA MADA: Kama una rafiki yako ambaye ni mwanasiasa wa CCM, CHADEMA au chama kingine chochote cha siasa hapa Tanzania muulize swali hili;

"Kama Tanganyika ilipata uhuru mwaka 1961 kisha ikawa Jamuhuri mwaka 1962, kuna tofauti gani kati ya nchi kupata uhuru na kuja Jamuhuri?"

Ila kuwa makini kwa maana urafiki wenu unaweza ukafa hapo hapo. Jioni njema...!!!!!

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Amka ndotoni Mkuu Kwa hii CCM ya Magufuli, Wapinzani hata wangeungana na jublee ya Kenyatta Ccm ushindi ni 98%.
 
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums.

Ndugu zangu Watanzania eti;

Kuna tofauti gani kati ya Mamlaka (Authority), Tume (Commission) na Bodi (Board)?

(1) Kwanini zamani ilikuwa Income Tax Department ila ikabadilishwa na kuwa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na sio Tume au Bodi?

(2) Kwanini Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) haikuundwa ikaitwa Authority, Board au Department?

(3) Kwanini Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) sio Mamlaka (Authority), Tume (Commission) au Department (Idara)?

(4) Kwanini moja inaitwa Idara ya uhamiaji (Immigration Department), nyingine inaitwa Mamlaka ya vitambulisho vya taifa (NIDA) na ya tatu inaitwa Mamlaka ya kupambana na dawa za kulevya (DCEA) ilhali zote zipo chini ya wizara moja ya mambo ya ndani ya nchi? Kwanini zote zisiitwe Mamlaka au Idara kwa maana zipo chini ya wizara moja?

(5) Kwanini ile inaitwa ni idara ya usalama wa Taifa na hii inaitwa taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU)? Kwanini zote zisiitwe idara au taasisi (idara ya kupamnana na rushwa au taasisi ya usalama wa taifa) kwa maana zipo chini ya wizara moja?

Kuna tofauti gani hapa wakuu?

NJE KIDOGO YA MADA: Kama una rafiki yako ambaye ni mwanasiasa wa CCM, CHADEMA au chama kingine chochote cha siasa hapa Tanzania muulize swali hili;

"Kama Tanganyika ilipata uhuru mwaka 1961 kisha ikawa Jamuhuri mwaka 1962, kuna tofauti gani kati ya nchi kupata uhuru na kuja Jamuhuri?"

Ila kuwa makini kwa maana urafiki wenu unaweza ukafa hapo hapo. Jioni njema...!!!!!

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Tumpongeze Rais Magufuli kwa kutupeleka uchumi wa kati.
 
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums.

Ndugu zangu Watanzania eti;

Kuna tofauti gani kati ya Mamlaka (Authority), Tume (Commission) na Bodi (Board)?

(1) Kwanini zamani ilikuwa Income Tax Department ila ikabadilishwa na kuwa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na sio Tume au Bodi?

(2) Kwanini Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) haikuundwa ikaitwa Authority, Board au Department?

(3) Kwanini Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) sio Mamlaka (Authority), Tume (Commission) au Department (Idara)?

(4) Kwanini moja inaitwa Idara ya uhamiaji (Immigration Department), nyingine inaitwa Mamlaka ya vitambulisho vya taifa (NIDA) na ya tatu inaitwa Mamlaka ya kupambana na dawa za kulevya (DCEA) ilhali zote zipo chini ya wizara moja ya mambo ya ndani ya nchi? Kwanini zote zisiitwe Mamlaka au Idara kwa maana zipo chini ya wizara moja?

(5) Kwanini ile inaitwa ni idara ya usalama wa Taifa na hii inaitwa taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU)? Kwanini zote zisiitwe idara au taasisi (idara ya kupamnana na rushwa au taasisi ya usalama wa taifa) kwa maana zipo chini ya wizara moja?

Kuna tofauti gani hapa wakuu?

NJE KIDOGO YA MADA: Kama una rafiki yako ambaye ni mwanasiasa wa CCM, CHADEMA au chama kingine chochote cha siasa hapa Tanzania muulize swali hili;

"Kama Tanganyika ilipata uhuru mwaka 1961 kisha ikawa Jamuhuri mwaka 1962, kuna tofauti gani kati ya nchi kupata uhuru na kuja Jamuhuri?"

Ila kuwa makini kwa maana urafiki wenu unaweza ukafa hapo hapo. Jioni njema...!!!!!

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Magufuli hawezi kuuza Nchi ni Mzalendo haswa Usimfananishe na wale waliotumwa na Wazungu.
 
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums.

Ndugu zangu Watanzania eti;

Kuna tofauti gani kati ya Mamlaka (Authority), Tume (Commission) na Bodi (Board)?

(1) Kwanini zamani ilikuwa Income Tax Department ila ikabadilishwa na kuwa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na sio Tume au Bodi?

(2) Kwanini Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) haikuundwa ikaitwa Authority, Board au Department?

(3) Kwanini Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) sio Mamlaka (Authority), Tume (Commission) au Department (Idara)?

(4) Kwanini moja inaitwa Idara ya uhamiaji (Immigration Department), nyingine inaitwa Mamlaka ya vitambulisho vya taifa (NIDA) na ya tatu inaitwa Mamlaka ya kupambana na dawa za kulevya (DCEA) ilhali zote zipo chini ya wizara moja ya mambo ya ndani ya nchi? Kwanini zote zisiitwe Mamlaka au Idara kwa maana zipo chini ya wizara moja?

(5) Kwanini ile inaitwa ni idara ya usalama wa Taifa na hii inaitwa taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU)? Kwanini zote zisiitwe idara au taasisi (idara ya kupamnana na rushwa au taasisi ya usalama wa taifa) kwa maana zipo chini ya wizara moja?

Kuna tofauti gani hapa wakuu?

NJE KIDOGO YA MADA: Kama una rafiki yako ambaye ni mwanasiasa wa CCM, CHADEMA au chama kingine chochote cha siasa hapa Tanzania muulize swali hili;

"Kama Tanganyika ilipata uhuru mwaka 1961 kisha ikawa Jamuhuri mwaka 1962, kuna tofauti gani kati ya nchi kupata uhuru na kuja Jamuhuri?"

Ila kuwa makini kwa maana urafiki wenu unaweza ukafa hapo hapo. Jioni njema...!!!!!

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Lissu alikuwa anawatetea Mabeberu bungeni waendelee kuchimba madini yetu huku Rais Magufuli akitutetea sisi wanyonge.
 
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums.

Ndugu zangu Watanzania eti;

Kuna tofauti gani kati ya Mamlaka (Authority), Tume (Commission) na Bodi (Board)?

(1) Kwanini zamani ilikuwa Income Tax Department ila ikabadilishwa na kuwa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na sio Tume au Bodi?

(2) Kwanini Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) haikuundwa ikaitwa Authority, Board au Department?

(3) Kwanini Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) sio Mamlaka (Authority), Tume (Commission) au Department (Idara)?

(4) Kwanini moja inaitwa Idara ya uhamiaji (Immigration Department), nyingine inaitwa Mamlaka ya vitambulisho vya taifa (NIDA) na ya tatu inaitwa Mamlaka ya kupambana na dawa za kulevya (DCEA) ilhali zote zipo chini ya wizara moja ya mambo ya ndani ya nchi? Kwanini zote zisiitwe Mamlaka au Idara kwa maana zipo chini ya wizara moja?

(5) Kwanini ile inaitwa ni idara ya usalama wa Taifa na hii inaitwa taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU)? Kwanini zote zisiitwe idara au taasisi (idara ya kupamnana na rushwa au taasisi ya usalama wa taifa) kwa maana zipo chini ya wizara moja?

Kuna tofauti gani hapa wakuu?

NJE KIDOGO YA MADA: Kama una rafiki yako ambaye ni mwanasiasa wa CCM, CHADEMA au chama kingine chochote cha siasa hapa Tanzania muulize swali hili;

"Kama Tanganyika ilipata uhuru mwaka 1961 kisha ikawa Jamuhuri mwaka 1962, kuna tofauti gani kati ya nchi kupata uhuru na kuja Jamuhuri?"

Ila kuwa makini kwa maana urafiki wenu unaweza ukafa hapo hapo. Jioni njema...!!!!!

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Swali zuri mkuu
 
Back
Top Bottom