Food For Thought: Kuna tofauti gani kati ya Mamlaka, Tume pamoja na Bodi?

Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums.

Ndugu zangu Watanzania eti;

Kuna tofauti gani kati ya Mamlaka (Authority), Tume (Commission) na Bodi (Board)?

(1) Kwanini zamani ilikuwa Income Tax Department ila ikabadilishwa na kuwa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na sio Tume au Bodi?

(2) Kwanini Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) haikuundwa ikaitwa Authority, Board au Department?

(3) Kwanini Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) sio Mamlaka (Authority), Tume (Commission) au Department (Idara)?

(4) Kwanini moja inaitwa Idara ya uhamiaji (Immigration Department), nyingine inaitwa Mamlaka ya vitambulisho vya taifa (NIDA) na ya tatu inaitwa Mamlaka ya kupambana na dawa za kulevya (DCEA) ilhali zote zipo chini ya wizara moja ya mambo ya ndani ya nchi? Kwanini zote zisiitwe Mamlaka au Idara kwa maana zipo chini ya wizara moja?

(5) Kwanini ile inaitwa ni idara ya usalama wa Taifa na hii inaitwa taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU)? Kwanini zote zisiitwe idara au taasisi (idara ya kupamnana na rushwa au taasisi ya usalama wa taifa) kwa maana zipo chini ya wizara moja?

Kuna tofauti gani hapa wakuu?

NJE KIDOGO YA MADA: Kama una rafiki yako ambaye ni mwanasiasa wa CCM, CHADEMA au chama kingine chochote cha siasa hapa Tanzania muulize swali hili;

"Kama Tanganyika ilipata uhuru mwaka 1961 kisha ikawa Jamuhuri mwaka 1962, kuna tofauti gani kati ya nchi kupata uhuru na kuja Jamuhuri?"

Ila kuwa makini kwa maana urafiki wenu unaweza ukafa hapo hapo. Jioni njema...!!!!!

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Hehe nitakupa majibu siku nikipata nafasi
 
Mkuu, Really???
Hii nami naafiki, moja ya tofauti za idara na mamlaka ni kwenye kukusanya fedha na kuzitumia. Wakati Idara haiwezi kutumia pesa ilizokusanya (inazipeleka hazina zote) mamlaka wameruhusiwa kutumia asilimia fulani ya fedha wanazokysanya. Ndiyo maana kuna kipindi miaka ya nyuma mamlaka ya uhifadhi Ngorongoro (NCA) walikuwa wako vizuri na mishahara yao hata kuzidi Idara ya wanyama pori...
 
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums.

Ndugu zangu Watanzania eti;

Kuna tofauti gani kati ya Mamlaka (Authority), Tume (Commission) na Bodi (Board)?

(1) Kwanini zamani ilikuwa Income Tax Department ila ikabadilishwa na kuwa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na sio Tume au Bodi?

(2) Kwanini Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) haikuundwa ikaitwa Authority, Board au Department?

(3) Kwanini Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) sio Mamlaka (Authority), Tume (Commission) au Department (Idara)?

(4) Kwanini moja inaitwa Idara ya uhamiaji (Immigration Department), nyingine inaitwa Mamlaka ya vitambulisho vya taifa (NIDA) na ya tatu inaitwa Mamlaka ya kupambana na dawa za kulevya (DCEA) ilhali zote zipo chini ya wizara moja ya mambo ya ndani ya nchi? Kwanini zote zisiitwe Mamlaka au Idara kwa maana zipo chini ya wizara moja?

(5) Kwanini ile inaitwa ni idara ya usalama wa Taifa na hii inaitwa taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU)? Kwanini zote zisiitwe idara au taasisi (idara ya kupamnana na rushwa au taasisi ya usalama wa taifa) kwa maana zipo chini ya wizara moja?

Kuna tofauti gani hapa wakuu?

NJE KIDOGO YA MADA: Kama una rafiki yako ambaye ni mwanasiasa wa CCM, CHADEMA au chama kingine chochote cha siasa hapa Tanzania muulize swali hili;

"Kama Tanganyika ilipata uhuru mwaka 1961 kisha ikawa Jamuhuri mwaka 1962, kuna tofauti gani kati ya nchi kupata uhuru na kuja Jamuhuri?"

Ila kuwa makini kwa maana urafiki wenu unaweza ukafa hapo hapo. Jioni njema...!!!!!

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Hizo ni codes,ila dot ni moja.
 
Mamlaka: inakuwa na Jukumu la Enforcement towards accomplishment
Idara: Inakuwa na Jukumu la Facilitation towards primary objective
Taasisi: inakuwa na Jukumu la Enforcement towards obligations
Tume: Mara nyingi huwa utendaji wake ni wa Muda Maalum
Nice nimeelewaa
 
MAMLAKA ni msimamizi wa sheria fulani (law enforcer), BODI ni kundi la watendaji wa kazi fulani TUME hawa sioni tofauti yao na BODI labda kimfumo wa maamuzi.

Nmejaribu wakuu ila iyo ya juu na uhakika 100%
 
Back
Top Bottom