kantasundwa
JF-Expert Member
- May 25, 2020
- 1,550
- 2,381
Kunywa maji upunguze jazba mkuu..kila chama kina utaratibu wake...kwnn ninyi mmeprint form moja tu ya urais??Kabisa chadema maigizo kwenda mbele tena ya ze commedy .Tuliona watia Nia wakijanadi kuwa wameandika barua Chadema ya kuomba wawe wagombea uraisi tena kwa mbwembwe mbele ya vyombo vya habari vya ndani na vya kimataifa Kama BBC nk Leo ohhh mtu anatakiwa achukue fomu ya Ugombea hivi hata BBC wataelewa hiyo ze commedy? Sababu walishachukulia kuwa mtu aliandika barua ya Kuomba uteuzi kinachofuata Ni majibu ya barua yake!!! Barua haijajibiwa chadema wanasema kachukueni fomu wote mnaotaka kugombea!!!
Chadema kuna tatizo