Uchaguzi 2020 Fomu za kugombea urais kupitia CHADEMA, zaanza kutolewa. Wanachama wahimizwa kuchukua fomu

Kabisa chadema maigizo kwenda mbele tena ya ze commedy .Tuliona watia Nia wakijanadi kuwa wameandika barua Chadema ya kuomba wawe wagombea uraisi tena kwa mbwembwe mbele ya vyombo vya habari vya ndani na vya kimataifa Kama BBC nk Leo ohhh mtu anatakiwa achukue fomu ya Ugombea hivi hata BBC wataelewa hiyo ze commedy? Sababu walishachukulia kuwa mtu aliandika barua ya Kuomba uteuzi kinachofuata Ni majibu ya barua yake!!! Barua haijajibiwa chadema wanasema kachukueni fomu wote mnaotaka kugombea!!!

Chadema kuna tatizo
Kunywa maji upunguze jazba mkuu..kila chama kina utaratibu wake...kwnn ninyi mmeprint form moja tu ya urais??
 
Kwahiyo barua ya kuomba uteuzi(kama kweli walitakiwa kuandika hizo barua) ndio mbadala wa fomu?Ulisoma shule gani wewe?
Waliandika na wakaongea hivyo mbele ya vyombo vya habari vya ndani na nje ina maana Hadi Tundu Lisu Makamu mwenyekiti wa chadema taifa hajui utaratibu wa chama kuwa ukitaka kugombea hutakiwi kuandika barua unatakiwa uchukue form?

Chadema mbona mko hovyo Hivyo ina maana Tundu Lisu Ni kilaza!!! Ni Makamu mwenyekiti asiyejua hata taratibu za chama chake mwenyewe!!!! Mnajua tukiwambia Chadema hamna akili hatutanii

Mna uelewa mdogo mno akiwemo Tundu Lisu
 
Polex2: Hali ni tete! wametia nia tena wengi sana! sasa tufanyeje?

Mungu Yesu: Kamata yeyote anayefanya mikutano nje au ndani. Hadi wakasirike watumie nguvu ya uma kuleta fujo! niwashughulikie haraka halafu nifute na huu uchaguzi. waereze maarapisi wote wafanyie kazi hilo. Mimi siwezi kuzuiliwa wakati nimeipeleka nchi uchumi wa kati. Nasema zuia mikutano yao yote. Yatachoka tu halafu yafanye fyoko niyashughulikie.

Watanzania ndiko tunakoelekea! trust me!
Mikakati ni muhimu!

1594043542749.png
 
Barua waliziandika wanaotaka kugombea uraisi zilikuwa za Nini? Mbona mna usumbufu nyie Chadema mara ohh anayetaka kugombea uraisi aandike barua utafikiri anachumbia watu wakaandika akiwemo Lisu Mara ohh fomu za mtaka kugombea zinaanza kutolewa Leo!! Mbona hamueleweki mna wazimu au? Zile barua kazi yake ilikuwa Nini?

Lichama haliko organized hovyo kabisa
Mwendawazimu kalalel, Mambo ya chadema yanakuhusu nini?
 
Chadema kwenye procedures na organization wako zero pamoja na kujitia ohh Wana wanasheria nguli Koko Kama Tundu lisu Ina maana hata Tundu Lisu na uanasheria wake Koko hakujua kuwa kuomba kugombea Uraisi Chadema unatakiwa uchukue form yeye aliibuka Tena hadi mbele ya vyombo vya habari vya kimataifa Kama BBC ohh nimeandika barua kamati kuu ya kuomba kugombea uraisi kupitia Chadema!!!! Mwanasheria asiyejua hata taratibu za chama chake za kugombea uraisi Tena Makamu mwenyekiti Chadema taifa Halafu kichwani yuko zero hajui taratibu za chama aiseeerr!!! Very interesting
Kwanini hamkumruhusu membe kugombea uraisi?
Acheni unafiki.
 
Back
Top Bottom