Fomu za CMA (Commission for Mediation and Arbitration)

No_Worries

Member
Sep 27, 2016
69
23
Wakuu,

Msaada please, aliye na Fomu (form) za kufungulia shauri kwenye tume ya Usuluhishi na Uamuzi (CMA) naomba anirushie hapa. Natafuta soft copy sababu hard copy inachangamoto zake kuijaza. Ukiwa na CMA form number one ama two (yoyote uliyonayo) tafadhali nakuomba unitumie.

Natanguliza shukrani
 
Wakuu,

Msaada please, aliye na Fomu (form) za kufungulia shauri kwenye tume ya Usuluhishi na Uamuzi (CMA) naomba anirushie hapa. Natafuta soft copy sababu hard copy inachangamoto zake kuijaza. Ukiwa na CMA form number one ama two (yoyote uliyonayo) tafadhali nakuomba unitumie.

Natanguliza shukrani


Wakuu, inamaana hizi fomu watu hawana? ama ni ubusy wa weekend? Tafadhali na unazo nisaidie Mtanzania mwenzako.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom