DCONSCIOUS
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 1,269
- 473
Kwa anaye jua kazi ya form nomer 17 kweny uchaguzi anisaidie. je ipo kisheria au ni taratib? Kama ni sheria kwann tuambiwe kuwa kwenye hizi chaguzi hazita tumika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa anaye jua kazi ya form nomer 17 kweny uchaguzi anisaidie. je ipo kisheria au ni taratib? Kama ni sheria kwann tuambiwe kuwa kwenye hizi chaguzi hazita tumika
Si wote wanajua matumizi ya fomu no 17, kwahiyo kinachotakiwa wananchi wote bila kujali itikadi ya kisiasa ni lazima waeleweshwe kuhusu fomu no 17 na ni lazima iwepo na itumike. Maana CCM na tume tunawajua hawakawii kusema watu waliopoteza kadi hawakujitokeza wenyewe na kuomba hiyo fomu hivyo walipoteza wenyewe haki yako kwa kutokufahamu uwepo wa fomu hiyo. Huna kadi hakikisha siku ya kupiga kura unawahi kituoni na uombe hiyo fomu upige kura full stopBado siamini kama hakuna anae ijua
Vijana
na sisi ifike mahali tutambue kuwa siasa ni maisha, tutunze shahada
sana, tuache mchezo na maisha yetu. Tuanze kuchukua hatua
serious.