Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 33,648
- 75,732
Hongera saana Rais Magufuli. Ni baada ya huyu Youtuber kuweka top 10 ya marais wanaofanya vizuri Afrika na kwa bahati mbaya kamsahau Rais John Magufuli.
Kilichotokea post yao ya pili ilibidi waanze kumdadavua Magufuli kwa undani wake.
Angalia comments za followers kutoka kote Duniani.
Kilichotokea post yao ya pili ilibidi waanze kumdadavua Magufuli kwa undani wake.
Angalia comments za followers kutoka kote Duniani.