Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,277
- 105,478
Tafadhali mtu aniamshe kama nina ota! Siwezi amini Rais anatumia uwingi wa magari Dar kama kipimo cha maisha bora kwa watanzania? hii mizaha mingine sasa ni too much! hivi ni kweli kuwa hajui kuwa huo msongamano unasababishwa na uvinyu wa barabara na pengine sio uwing i wa magari! yaani bado siamini Rais anahimiza watu wanunue hii mitumba ya magari, anahimiza nchi kuwa jalala! ooooh! God please have a mercy on us, please show us were did we go wrong!
Mambo ya Marie-Antoinette supposedly alivyowambia wafaransa "let them eat cake". Wananchi wako wana GDP Per Capita inayocheza na mstari wa $ 500, wewe unawaambia wanunue magari zaidi.
Inaonyesha JK hawafikirii modal Tanzanians, anafikiria watu fulani tu wa mijini katika mipango yake. Angekuwa anawafikiria modal Tanzanians angeona kuwaambia wanunue magari wakati hata mkokoteni hawana ni kuwatukana.