Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
the idea is very theoretical ... i am sorry[/QUO
sorry for urself
mfano mkubwa pale unapokuwa ndani ya bus, ukiangalia pembeni utaona private cars zikiwa na m2 mmoja mmoja, sasa nikakaaa na kufikiria, iwekwe sheria ni marufuku kuendesha gari ukiwa pekeako atleast wawepo wa2 watatu na kuendelea, najua kwa wenye private cars itakua ni tatizo lkn kwa sisi watumia public transport nadhani tutachekelea pia wadosi watajifunza kutoa lift kwa majirani au familia kutumia gari moja badala ya baba na gari yake, mama yake, na kila mtoto yake. hapo mnaonaje wana JF?
mfano mkubwa pale unapokuwa ndani ya bus, ukiangalia pembeni utaona private cars zikiwa na m2 mmoja mmoja, sasa nikakaaa na kufikiria, iwekwe sheria ni marufuku kuendesha gari ukiwa pekeako atleast wawepo wa2 watatu na kuendelea, najua kwa wenye private cars itakua ni tatizo lkn kwa sisi watumia public transport nadhani tutachekelea pia wadosi watajifunza kutoa lift kwa majirani au familia kutumia gari moja badala ya baba na gari yake, mama yake, na kila mtoto yake. hapo mnaonaje wana JF?
Aisee huyu jamaa sio Mtanzania tumsamehe Bure. Inamaana unapowapa watu Lift Ndio foleni inapungua?
Hii ni kali aisee. Tunaweza kupunguza foleni by:
1. Fy overs kwenye mataa.
2. Kuongeza parking fee katikati ya Mji.(many ppl will use public transport)
3. Ofisi zote za Serikali ziondolewe katikati ya Mji.
4.
5.
Unaweza kumfosi mtu matumizi ya mali yake binafsi?
Mwishowe tutasema kwa kuwa nyumba nyingi zimejengwa kiholela, kila nyumba lazima iishi watu 15 ili nyumba nyingine zisiendelee kujengwa zaidi.
Aisee huyu jamaa sio Mtanzania tumsamehe Bure. Inamaana unapowapa watu Lift Ndio foleni inapungua?
Hii ni kali aisee. Tunaweza kupunguza foleni by:
1. Fy overs kwenye mataa.
2. Kuongeza parking fee katikati ya Mji.(many ppl will use public transport)
3. Ofisi zote za Serikali ziondolewe katikati ya Mji.
4.
5.
mfano mkubwa pale unapokuwa ndani ya bus, ukiangalia pembeni utaona private cars zikiwa na m2 mmoja mmoja, sasa nikakaaa na kufikiria, iwekwe sheria ni marufuku kuendesha gari ukiwa pekeako atleast wawepo wa2 watatu na kuendelea, najua kwa wenye private cars itakua ni tatizo lkn kwa sisi watumia public transport nadhani tutachekelea pia wadosi watajifunza kutoa lift kwa majirani au familia kutumia gari moja badala ya baba na gari yake, mama yake, na kila mtoto yake. hapo mnaonaje wana JF?
kila m2 ana mawazo yake jamani! nami hilo ndo wazo langu so sijalazimisha kila m2 akubaliane nalo!! i know what im talking, sio lazima wa2 wawapakie watu wengine bt kama familia inaweza tumia gari moja instead of magari sita incase wako sita. Preta wewe ndo unachekesha
vipi kwa sasa tanzania hatuna hizo fly overs? au tuanze tu kupaa angani? fikiri kabla