Foleni za magari ni maisha bora - Kikwete

wana JF wote ni wahusika ..... weka vitu hadharani watakusaidia
 
WEKA HADHARANI ILI TANZANIA IKISHINDWA NCHI JIRANI ZIIGE...! (nimeongea kwa uchungu kwani tuna tabia ya kudharau vya nyumbani)
 
mfano mkubwa pale unapokuwa ndani ya bus, ukiangalia pembeni utaona private cars zikiwa na m2 mmoja mmoja, sasa nikakaaa na kufikiria, iwekwe sheria ni marufuku kuendesha gari ukiwa pekeako atleast wawepo wa2 watatu na kuendelea, najua kwa wenye private cars itakua ni tatizo lkn kwa sisi watumia public transport nadhani tutachekelea pia wadosi watajifunza kutoa lift kwa majirani au familia kutumia gari moja badala ya baba na gari yake, mama yake, na kila mtoto yake. hapo mnaonaje wana JF?
 
mfano mkubwa pale unapokuwa ndani ya bus, ukiangalia pembeni utaona private cars zikiwa na m2 mmoja mmoja, sasa nikakaaa na kufikiria, iwekwe sheria ni marufuku kuendesha gari ukiwa pekeako atleast wawepo wa2 watatu na kuendelea, najua kwa wenye private cars itakua ni tatizo lkn kwa sisi watumia public transport nadhani tutachekelea pia wadosi watajifunza kutoa lift kwa majirani au familia kutumia gari moja badala ya baba na gari yake, mama yake, na kila mtoto yake. hapo mnaonaje wana JF?

Unaweza kumfosi mtu matumizi ya mali yake binafsi?

Mwishowe tutasema kwa kuwa nyumba nyingi zimejengwa kiholela, kila nyumba lazima iishi watu 15 ili nyumba nyingine zisiendelee kujengwa zaidi.
 
Aisee huyu jamaa sio Mtanzania tumsamehe Bure. Inamaana unapowapa watu Lift Ndio foleni inapungua?
Hii ni kali aisee. Tunaweza kupunguza foleni by:
1. Fy overs kwenye mataa.
2. Kuongeza parking fee katikati ya Mji.(many ppl will use public transport)
3. Ofisi zote za Serikali ziondolewe katikati ya Mji.
4.
5.
 
mfano mkubwa pale unapokuwa ndani ya bus, ukiangalia pembeni utaona private cars zikiwa na m2 mmoja mmoja, sasa nikakaaa na kufikiria, iwekwe sheria ni marufuku kuendesha gari ukiwa pekeako atleast wawepo wa2 watatu na kuendelea, najua kwa wenye private cars itakua ni tatizo lkn kwa sisi watumia public transport nadhani tutachekelea pia wadosi watajifunza kutoa lift kwa majirani au familia kutumia gari moja badala ya baba na gari yake, mama yake, na kila mtoto yake. hapo mnaonaje wana JF?

unachekesha.....
 
Aisee huyu jamaa sio Mtanzania tumsamehe Bure. Inamaana unapowapa watu Lift Ndio foleni inapungua?
Hii ni kali aisee. Tunaweza kupunguza foleni by:
1. Fy overs kwenye mataa.
2. Kuongeza parking fee katikati ya Mji.(many ppl will use public transport)
3. Ofisi zote za Serikali ziondolewe katikati ya Mji.
4.
5.

ningeomba umkopeshe hili wazo lako......oooh nimesahau kumbe kila mtu ana upeo wake wa kufikiria
 
Tunathamino mno mchango wako, umwage hapa jamvini Magufuli na Mwakyembe waune, maana tunao hapa kila siku.
 
Unaweza kumfosi mtu matumizi ya mali yake binafsi?

Mwishowe tutasema kwa kuwa nyumba nyingi zimejengwa kiholela, kila nyumba lazima iishi watu 15 ili nyumba nyingine zisiendelee kujengwa zaidi.

ha haaa ... mkuu ikifika huku ni stage ya socialism ambayo tulishindwa kupractice ... inahitaji uvuke capitalism halafu uwe na excess ndiyo unaweza kuwa na utaratibu huu .... yaani petroli ni nunue mimi halafu wewe udandie gari ... kweli nimecheka sana
 
kila m2 ana mawazo yake jamani! nami hilo ndo wazo langu so sijalazimisha kila m2 akubaliane nalo!! i know what im talking, sio lazima wa2 wawapakie watu wengine bt kama familia inaweza tumia gari moja instead of magari sita incase wako sita. Preta wewe ndo unachekesha
vipi kwa sasa tanzania hatuna hizo fly overs? au tuanze tu kupaa angani? fikiri kabla
 
Dawa ni moja tu, kuboresha miundombinu ikiwa ni pamoja na kupunguza feeder roads na kupunguza round abouts kwa kujenga flyovers kibao, feeder roads zipite juu au chini na highways ziwe peke yake. mfano hapo ubungo yale makutano yakiwekewa fly over kutoka kimara kwenda posta jamaa watakuwa wananyooka tu na barabara ya shelilango ikipita chini kadhalika na nyingine kama hii ta mandera na alhasan mwinyi bila shaka msongamano utapungua. Ukienda saudia wana fly over kibao na msongamano kwenye highways huupati!
 
Aisee huyu jamaa sio Mtanzania tumsamehe Bure. Inamaana unapowapa watu Lift Ndio foleni inapungua?
Hii ni kali aisee. Tunaweza kupunguza foleni by:
1. Fy overs kwenye mataa.
2. Kuongeza parking fee katikati ya Mji.(many ppl will use public transport)
3. Ofisi zote za Serikali ziondolewe katikati ya Mji.
4.
5.

4. Boresha usafiri wa umma... kama DART itafanya kazi kama inavyosemwa na bei ya mafuta ilivyo magari yatachwa majumbani
5. Ma-investor wa majengo makubwa wasijenge mjini na kariakoo tena, wajenge nje ya mji. mwenge, ubungo, mbezi etc ili maofisi hata ya binafsi ambayo ni mengi yashawishike kutoka mjini. (sasa hivi kuna majengo 4 ya ghorfa zaidi ya 30 ndio yanaanza msingi mjini11)


6.

7.
 
Njia za kupunguza foleni ni
1) Kuuchora mpaya mji, na maafa yake ni kuwa wengi itabidi wabomolewe majumba. Mfano Dubai.

2) Kuboresha usafiri wa jamii, bus, trains na kuzuia magari kuingia katikati ya mji kwa kutoza toll za kuingilia mjini na parking za mjini zizidishwe bei. Mfano, London.

3) Makosa ya usalama barabarani yasilipishwe faini, askari wa usalama barabarani wakae na marungu, kosa dogo wavunje endiketa, linalozidi taa za mbele, kosa kubwa kioo na kuendelea. Na ukivunjiwa taa, askari wa mbele unakokwenda akikushika, anakuvunjia nyingine.

4) Kuzuwia magari yenye umri wa zaidi ya miaka 5 toka yaundwe yasiingizwe nchini.

4) Kudhibiti wanaotowa na kupokea rushwa jeshi la polisi, hususan askari wa usalama barabarani. Anaekamatwa kutoa au kupokea rushwa auliwe kwa kupigwa risasi hadharani.
 
Dawa ni
1. Kupanga vizuri miji yetu. Jiji la DSM lina watu karibu milioni tano lakini sehemu kubwa (80%) ni ghetto. Barabara ni chache sana kwenye ghetto.

2. Kuboresha miundo mbinu - Barabara za kuingilia na kutokea DSM ni mbili tu. Barabara kuu kupita zote ni ile inayopita Ubungo kwenda Morogoro. Inaunganisha zaidi ya 90% ya Tanzania na karibu nchi zote za jirani.

3. Kuheshimu na kusimamia sheria - Tanzania ni kama haina serikali. Sheria zilizopo ni kwa ajili ya kuwabana wanyonge siyo wakubwa au wenye mali. Leo hili sheria za barabarani haziheshimiwi kabisa. Tazama watu wanavyoendesha DSM. Kuna madereva wanonyesha waziwazi kuwa leseni zao ni za kununua kwa jinsi wasivyojua sheria za barabarani. Kuna madereva wapo pale kuonyesha ubabe barabarani kwa kupita wakati taa ni nyekundu au ku-overtake upande wa kushoto. Waendesha pikipiki wao wanaona sheria za barabarani haziwahusu kabsa na "Traffic Police" inaelekea wanakubaliana nao. Kama sheria za barabarani na karibu zote zisizo za barabarani tumeshindwa kuzisimamia nani atasimamia sheria ya kuhakikisha gari limebeba watu aidi ya moja?
 
mfano mkubwa pale unapokuwa ndani ya bus, ukiangalia pembeni utaona private cars zikiwa na m2 mmoja mmoja, sasa nikakaaa na kufikiria, iwekwe sheria ni marufuku kuendesha gari ukiwa pekeako atleast wawepo wa2 watatu na kuendelea, najua kwa wenye private cars itakua ni tatizo lkn kwa sisi watumia public transport nadhani tutachekelea pia wadosi watajifunza kutoa lift kwa majirani au familia kutumia gari moja badala ya baba na gari yake, mama yake, na kila mtoto yake. hapo mnaonaje wana JF?

hii ndio idea yako!!??
Khaa!
Labda magari ya serikali ambayo yamenunuliwa kwa kodi zetu ndio idea yako iwe applicable.
 
kila m2 ana mawazo yake jamani! nami hilo ndo wazo langu so sijalazimisha kila m2 akubaliane nalo!! i know what im talking, sio lazima wa2 wawapakie watu wengine bt kama familia inaweza tumia gari moja instead of magari sita incase wako sita. Preta wewe ndo unachekesha
vipi kwa sasa tanzania hatuna hizo fly overs? au tuanze tu kupaa angani? fikiri kabla

bado unaendelea kuchekesha.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom