Foleni kubwa ni sababu ya malori, sasa hivi wangekuwa wanapeleka mizigo ya mikoani kwa train kwenye dry port chalinzeNapendekeza wajenge flyover juu ya Tazara flyover ili zinazotokea Buguruni kwenda bandarini nazo zipite juu. Nakaribisha maoni
Foleni kubwa ni sababu ya malori, sasa hivi wangekuwa wanapeleka mizigo ya mikoani kwa train kwenye dry port chalinzeNapendekeza wajenge flyover juu ya Tazara flyover ili zinazotokea Buguruni kwenda bandarini nazo zipite juu. Nakaribisha maoni
Tuendelee kuhimiza SGR ikamilikeFoleni kubwa ni sababu ya malori, sasa hivi wangekuwa wanapeleka mizigo ya mikoani kwa train kwenye dry port chalinze
Sasa hivi hata hii reli yetu ya zamani inaweza kutatua hilo tatizo kwa muda wakati tunasubiri hiyo SGR , fly overTuendelee kuhimiza SGR ikamilike
Inasemekana wenye malorry huwa wanahujumu miundo mbinu ya reliSasa hivi hata hii reli yetu ya zamani inaweza kutatua hilo tatizo kwa muda wakati tunasubiri hiyo SGR , fly over
Ni kweli, hiyo inajulikana, hivyo kwa nchi yetu kuzui hilo inategemeana na utashi wa kiongozi aliyepo madarakaniInasemekana wenye malorry huwa wanahujumu miundo mbinu ya reli
Hiyo nayo kali ingawa inaweza kuwa suluhu japo ya muda tuSuala ni kuboresha maisha, na sio kurudisha watu nyuma, yaani badala ya kunyonya shimo la choo lililojaa wewe unapunguza kula ili usinye sana?
🚮🚮🚮Njia rahisi ya kupunguza foleni kwenye majiji, ingawa itaumiza wengine, ni kuwepo na kodi au tozo ya kila mwezi kwa magari yote binafsi yasiotoa huduma kwa umma, pamoja na kuongeza tozo maeneo ya kupaki hayo magari; Mfano, kama utatumia usafiri binafsi ndani ya jiji na ukawa unatozwa shilingi milioni 1 kwa mwezi, na sehemu yoyote utakayopaki au kusimama kutozwa kodi...hapo lazima magari mengi binafsi yatabaki majumbani, na hapo utakuwa umepunguza foleni kwa asilimia kubwa...kwa sababu kwenda katika shughuli zetu tutatumia usafiri wa umma.
Wajinga kama nyie ndo mlikuwa mnapelekwa utumwani na kuhasiwa.
DuhNjia rahisi ya kupunguza foleni kwenye majiji, ingawa itaumiza wengine, ni kuwepo na kodi au tozo ya kila mwezi kwa magari yote binafsi yasiotoa huduma kwa umma, pamoja na kuongeza tozo maeneo ya kupaki hayo magari; Mfano, kama utatumia usafiri binafsi ndani ya jiji na ukawa unatozwa shilingi milioni 1 kwa mwezi, na sehemu yoyote utakayopaki au kusimama kutozwa kodi...hapo lazima magari mengi binafsi yatabaki majumbani, na hapo utakuwa umepunguza foleni kwa asilimia kubwa...kwa sababu kwenda katika shughuli zetu tutatumia usafiri wa umma.
Hizo nchi zilizoendelea na wao wanatumia mbini hii?Njia rahisi ya kupunguza foleni kwenye majiji, ingawa itaumiza wengine, ni kuwepo na kodi au tozo ya kila mwezi kwa magari yote binafsi yasiotoa huduma kwa umma, pamoja na kuongeza tozo maeneo ya kupaki hayo magari; Mfano, kama utatumia usafiri binafsi ndani ya jiji na ukawa unatozwa shilingi milioni 1 kwa mwezi, na sehemu yoyote utakayopaki au kusimama kutozwa kodi...hapo lazima magari mengi binafsi yatabaki majumbani, na hapo utakuwa umepunguza foleni kwa asilimia kubwa...kwa sababu kwenda katika shughuli zetu tutatumia usafiri wa umma.