Smartbeing
JF-Expert Member
- Apr 7, 2014
- 323
- 422
Wanaopita barabara ya Mandela mpaka daraja la Kigamboni watakuwa wameona shughuli.
Je, tatizo ni nini na litakaa muda gani watu wajiandae kisaikolojia?
Bila shaka swali hili la nyongeza litajibiwa na waziri mwenyewe sio naibu wake
Je, tatizo ni nini na litakaa muda gani watu wajiandae kisaikolojia?
Bila shaka swali hili la nyongeza litajibiwa na waziri mwenyewe sio naibu wake