Kwa wenye experience na nchi za wenzetu, hivi hii hutokeaga pia nchi nyingine au hapa bongo tu?
Tusaidiane tunatokaje hapa kuwahi familia zetu?
Wakubwa mpunguze pia na misafara yenu mnatutesa.
Nafikiri ukarabati wa barabara hapo kwa Mathias magari yqnapita njia moja ila misafara nayo ya viongozi haiishi. Kama vipi warudi tu Daslam.Kuna ukarabati wa miundombinu au ni msafara?
Hakuna njia mchepuko mbadala? Foleni zinakwamisha shughuli nyingi za kiuchumi
Haka ka Ist kangu nipande nako kwenye boda boda?Shuka uchukue boda uwahi familia
Kwa wenye experience na nchi za wenzetu, hivi hii hutokeaga pia nchi nyingine au hapa bongo tu?
Tusaidiane tunatokaje hapa kuwahi familia zetu?
Wakubwa mpunguze pia na misafara yenu mnatutesa.
Anhaa kumbe ndio maanaNafikiri ukarabati wa barabara hapo kwa Mathias magari yqnapita njia moja ila misafara nayo ya viongozi haiishi. Kama vipi warudi tu Daslam.
huwa najiuliza kwann serikali na Tanroads waliacha ile barabara ya zamani ife,, kwa kipindi kama hiki ingesaidia sanaToka walivyoanza utanuzi wa barabara kuanzia picha ya ndege hadi kongowe kumekuwa na foleni kubwa sana na ukiangalia barabara ya mchepuko (barabara ya zamani ) imekuwa mbovu sana ... Nafikili wangeliangalia hili maana lishakuwa tatizo sugu kwa sasa na ukizingatia ni barabara inayotumiwa na wengi
Nairobi kuna foleni sana baadhi ya maeneo kuliko hata DarKwa wenye experience na nchi za wenzetu, hivi hii hutokeaga pia nchi nyingine au hapa bongo tu?
Tusaidiane tunatokaje hapa kuwahi familia zetu?
Wakubwa mpunguze pia na misafara yenu mnatutesa.
Duuu hicho kipande kilisababisha niungie MoroKwa wenye experience na nchi za wenzetu, hivi hii hutokeaga pia nchi nyingine au hapa bongo tu?
Tusaidiane tunatokaje hapa kuwahi familia zetu?
Wakubwa mpunguze pia na misafara yenu mnatutesa.
Kilisababisha niingie moro saa 8 usiku last week, kuna matengenezo kwa Mathias pale yaweza kuwa ndio sababu kubwa,Duuu hicho kipande kilisababisha niungie Moro
So unaniambia hii Tunduma ni kesho??!!Kilisababisha niingie moro saa 8 usiku last week, kuna matengenezo kwa Mathias pale yaweza kuwa ndio sababu kubwa,
Hakuna utanuzi unaofanyika zaidi ya kuweka zege zile sehemu korofi.Toka walivyoanza utanuzi wa barabara kuanzia picha ya ndege hadi kongowe kumekuwa na foleni kubwa sana na ukiangalia barabara ya mchepuko (barabara ya zamani ) imekuwa mbovu sana ... Nafikili wangeliangalia hili maana lishakuwa tatizo sugu kwa sasa na ukizingatia ni barabara inayotumiwa na wengi