Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio mabolesho ....[mabolesho]
Elimu yako,please!!?
suluhisho ni hili hapaView attachment 126388
suluhisho ni hili hapaView attachment 126388
na bado hadi mradi uishe uta shaa...habari wadau, tangu jana hawa jamaa wa mrad wa mabasi yaendayo kasi wamefunga upande mmoja wa barabara ambao ndio unatengenezwa hivyo kusababisha folen kua kubwa sana hapa ubungo, nimetumia dakika 55 (6:10-7:05) kutoka mabibo hostel hadi udsm,
wabongo kufikia huku unawajukuu ishirini..
Tembea kwa mguu using'ang'anie kwenye gari utafika mapema
hivi sasa ni saa 7.02,bila shaka hujafika udsm
sisi wa kigamboni tumeshazoea, ni matembezi ya mshikamano toka feri hadi posta mpya - wengine hadi Mnazi mmoja!! na nyie wa ubungo tuungeni mkono - tunaijenga nchi yetu. CCM oyeee!!!habari wadau, tangu jana hawa jamaa wa mrad wa mabasi yaendayo kasi wamefunga upande mmoja wa barabara ambao ndio unatengenezwa hivyo kusababisha folen kua kubwa sana hapa ubungo, nimetumia dakika 55 (6:10-7:05) kutoka mabibo hostel hadi udsm,