Foleni Ya Kufa Mtu

Bingwaman

JF-Expert Member
Oct 22, 2010
549
287
traffic-jam.jpg
 
Nimependa jinsi wanavyoheshimu umbali toka gari moja mpaka jigine, Hapo Dar inakuwaga ziro distensi
 
Nimependa jinsi wanavyoheshimu umbali toka gari moja mpaka jigine, Hapo Dar inakuwaga ziro distensi

Ni kweli hii ni foleni kubwa lakini ina mpangilio (orderly). Nakubaliana na wewe kwamba kama ingekuwa ni Dar basi ingekuwa balaa tupu. Humohumo kungekuwa na vichaa wa bodaboda (pikipiki), mikokoteni, baiskeli bila kusahau daladala zinazotanua.
 
Bado foleni ni tishio kwa miji mingi check hii nayo
Jam.jpg

Na bado huo mnyororo ulikamata mpaka jioni/usiku

JAM jioni.JPG

Kwa bongo subiri mvua inyeshe ndo utakiona cha moto!
 
halafu hakuna hata bar pembezoni, ushtue kidogo wakati unasubiri foleni iishe
 
Ni kweli hii ni foleni kubwa lakini ina mpangilio (orderly). Nakubaliana na wewe kwamba kama ingekuwa ni Dar basi ingekuwa balaa tupu. Humohumo kungekuwa na vichaa wa bodaboda (pikipiki), mikokoteni, baiskeli bila kusahau daladala zinazotanua.

We call this a full "traffic democracy"!!!
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom