Unalosema nikweli aisee unaweza juta kwanini ulijenga kibamba,na sijawahi sikia hata siku moja waziri akiwakemea wakadarasi kuboresha njia za mchepuko wakati ni jukumu lao. Hata RC wetu hajawahi zungumzia hii kero. Leo nimeacha gari kimara nimechukuwa boda boda mpaka kibamba na ndio nafika saizi. Mungu tunusuru na hii adha, nawahurumia sana ndugu zetu wanao funga mwezi mtukufu na zile gari za wagonjwa ni taabu tupu.Hili limeshakuwa tatizo la kudumu kila siku.
Imeshawahi tokea saa 10 alfajiri nimekutana na hii foleni.
Jana nimetoka kibaha nikakuta foleni imeshafika kimbamba njia panda ya shule, ikabidi nipite service road mpya nilivyopita pale kibamba darajani.
Nimekuja nayo mpaka mbezi mwisho round about.
Kumbe tatizo ni lile daraja pale mbezi. Limekuwa dogo kiasi cha kutoweza mudu magari mengi kwa wakati mmoja.
Limeshakuwa tatizo sugu sasa.
Leo nimepita tena hiyo njia, foleni toka mbezi mpaka ubungo tena.
Hata kama serikali imesitisha ujenzi wa hii barabara, ihakikishe madaraja yote yamewekwa sawa.
Inategemea, wapo wapangaji huko, wana familia, watoto wameandikishwa shule za maeneo ya huko, unahama kwa jambo la muda tu. Ila kwa Single sio shida sana. Hata hivyo mpangaji mwingine hapendi kuhama hama kama anapokaa pana amani, mpaka ahamie kwake.Yani kama umepanga kimara- mbezi bora kuhama tu.
kumbe aiseeUjenzi Wa Hii Barabara Ya Kimara - Kibaha HAUJASITISHWA
WAMESITISHA Ujenzi Wa Dar - Chalinze Ambayo Design Yake Ilikuwa Express Highway!!
NAOMBA WENYE VICHWA VIGUMU KUELEWA MUELEWE
Narudia Tena, Cyo Kimara- Kibaha, Ni Express Highway Ya Dar - Chalinze!!
Nimeeleza Vizur Hpa Ila Watakuja "Failure " au wale Walioshia "Diploma" Kuanza Kuhoji Upuuzi
MTAONA