Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,140
- 13,215
Nimekuwa nikitafakari sana hizi foleni kwenye mizani na hasa kwa magari ya mizigo ambayo yamesheheni bidhaa mbalimbali ambazo ni uti wa mgongo kwa biashara na uchumi wa Taifa, yakiwemo mafuta na bidhaa nyinginezo za madukani na viwandani
imenikuna zaidi baada ya jana kukuta foleni kubwa mzani wa Singida, nikajiuliza sana, Kibaha foleni, Mikese foleni kubwa, Singida foleni, Tinde foleni.......kule Tunduma ndio kabsaaaaaaaaaaa
jamani titafika kweli? majuzi waliomba idadi ya mizani walau zipungue lakn walijibiwa kwa nyodo sana
Jamani hebu tuliangalie na hili, tutafika kweli? uzeofu wa nchi nyingine ni kama ss?
imenikuna zaidi baada ya jana kukuta foleni kubwa mzani wa Singida, nikajiuliza sana, Kibaha foleni, Mikese foleni kubwa, Singida foleni, Tinde foleni.......kule Tunduma ndio kabsaaaaaaaaaaa
jamani titafika kweli? majuzi waliomba idadi ya mizani walau zipungue lakn walijibiwa kwa nyodo sana
Jamani hebu tuliangalie na hili, tutafika kweli? uzeofu wa nchi nyingine ni kama ss?