Foleni Kimara - Mbezi usiku ni ya kutisha

maroon7

JF-Expert Member
Nov 3, 2010
11,142
15,130
Wakuu kwa mda wa masaa matatu sasa foleni ya kimara kwenda mbezi haiendi.. Jam hii si ya kawaida na inaonekana hata wenzetu wanausalama hawasaidii... Toka saa mbili mpaka mda huu saa tano hakuna ufumbuzi. Kama unapita njia hii nakushauri tafuta njia mbadala..ni mateso hasa.
 
V
Wakuu kwa mda wa masaa matatu sasa foleni ya kimara kwenda mbezi haiendi.. Jam hii si ya kawaida na inaonekana hata wenzetu wanausalama hawasaidii... Toka saa mbili mpaka mda huu saa tano hakuna ufumbuzi. Kama unapita njia hii nakushauri tafuta njia mbadala..ni mateso hasa.
Vumilia
 
Write your reply...
huko nilisha acha kupita,kuna siku nilipotea njia nikapita huko dah
 
Wakuu kwa mda wa masaa matatu sasa foleni ya kimara kwenda mbezi haiendi.. Jam hii si ya kawaida na inaonekana hata wenzetu wanausalama hawasaidii... Toka saa mbili mpaka mda huu saa tano hakuna ufumbuzi. Kama unapita njia hii nakushauri tafuta njia mbadala..ni mateso hasa.
Sisi tunaotoka magomeni kwenda kariakoo tukomenti wapi??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama umepanda daladala shuka utembee, kama una gari binafsi isome namba na kama una vijimafuta utalia leo
Daladala zimeshashusha abiria ziko tupu zinatafuta upenyo zigeuke..abiri wa kutembea wanatembea..wa bodaboda haya....na ubaya hata vituo vya mafuta upane

Kama umepanda daladala shuka utembee, kama una gari binafsi isome namba na kama una vijimafuta utalia leo
Na vituo vya mafuta pande hizi vilishafungwa kupisha upanuzi wa road...daladala hazina watu washashuka wameafuta namna nyingine....
 
Wakuu kwa mda wa masaa matatu sasa foleni ya kimara kwenda mbezi haiendi.. Jam hii si ya kawaida na inaonekana hata wenzetu wanausalama hawasaidii... Toka saa mbili mpaka mda huu saa tano hakuna ufumbuzi. Kama unapita njia hii nakushauri tafuta njia mbadala..ni mateso hasa.
A bit more than two year ago I was in Tz na siku hiyo nilikuwa naenda Kibamba. Kulikuwa na foleni tangu Kimara. Baadae tukaambiwa kulikuwa na accident na basi liliungua moto. Jamaa walifanya U turn at Mbezi na mie nikafika Kibamba saa sita.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mnasema vyuma vimekaza pesa za kununua magar mmepata wapi?

Wewe utakuwa kapuku sana. Kwa io wewe pesa ya kununua gari unaona ni kubwa??
Mtu alikuwa anaingiza 100m now anaingiza 30m vyuma vimemkazia ila unadhani atatembea kwa miguu??
Tafuta pesa dogo maandishi yako yanaonesha kabisa unaskini umekutawala


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hii foleni bado ipo mpaka saa hii? Niko Sinza nataka kurudi Kibamba
 
Back
Top Bottom