Foleni Kigamboni

afrolife

Senior Member
Oct 27, 2009
154
102
Niko ktk foleni ya kuvuka toka kigambon kuja posta 4 more than two hrs now! Queue ni ndefu mno!These ferry people sucks!
 
Most of weekends hiyo ni kawaida mkuu,wenzako uwa tunapita Kongowe,
Mzee Kongowe ndio utapita lakini ushakutana na jam la mbagala mwisho??pale ni hadi 3 hours unakaa!!ni madaladala yanaingia na kutaka kutoka afu askari wanatazama tu afu hapo ndio mwisho wa double road!!yani siku hizi hata afadhali siioni kwa kweli!!nashindwa kuelewa hivi kwa nini serikali inatabia ya kuanzisha vitu na kuishia njiani kwa mfano barabara hii ya mbagala ilikuwaje iishie Zakhem na sio Kongowe?na pia barabara ya ubungo kimara hadi mbezi yani barabara ya morogoro ilikuwaje ile double iishie pale kimara??hivi kwanini hatujifunzi kutengeneza future??angalia uwanja mpya wa Taifa,lengo lilikuwa ni kutoa viwanja vingi vya ndani vya michezo mbalimbali,lakini tumeishia ktk mpira wa miguu!!
Jingine wanalotaka kulifanya ni kujenga barabara za juu(Sina uhakika kama ni kweli) eti kuanzia stendi ya ubungo hadi kibo ,hivi kweli jamani hapo tatizo litakuwa limepungua kwa muda gani??tujifunze kutoka kwa majirani zetu Kenya,angalia ile fly over ya Mombasa road na zile Tunnel Road yani wanaonekana wanafanya uzalendo wa hali ya juu kwa nchi yao yani wanaipenda!!hivi jamani Tanzania nani Katuroga??nisaidieni ndugu zangu kabla sijabadili Uraia na kupotea kabisa hapa nchini.NAIPENDA TANZANIA
 
Back
Top Bottom