Foleni Dar yapatiwa uvumbuzi na serikali ya SISIMU imeanza kujigamba kua imetekeleza ahadi yake ya kuondoa msongamano wa foleni jijini Dar es Salaam. Kwa siku kama 5 hivi msongamano wa magari umepungua na kazi zinaenda kama kawaida. Sasa sijajua ni utekelezaji wa ahadi na ilaani ya SISIMU au ni huu mgomo baridi wa wasambazaji wa mafuta. Hapo sijajua ni kipi kimechangia foleni na msongamano kupungua Dar. Ila baadhi ya makada wa SISIMU wanajigamba kua ni utekelezaji wa ahadi. Nupe yupo hapo? CHADEMA nanyi mnasemaje?