toplemon
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 4,581
- 4,626
Foleni iliyokuwepo Ubungo sasa imehamia Mandela Road kuanzia Tabata hadi Buguruni.
Wakuu foleni iliyokuwepo Ubungo sasa imehamia Mandela Road.
Sasa hivi hayo maeneo yana foleni muda wote unakuta foleni inakaa mpaka masaa 2.
Kwa kweli tunahitaji kuwaza sana jinsi ya kutokomeza hizo foleni.
Wakuu foleni iliyokuwepo Ubungo sasa imehamia Mandela Road.
Sasa hivi hayo maeneo yana foleni muda wote unakuta foleni inakaa mpaka masaa 2.
Kwa kweli tunahitaji kuwaza sana jinsi ya kutokomeza hizo foleni.