Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 14,138
- 22,504
- Thread starter
- #21
Kabisaa mkuuNakubali sana
Kabisaa mkuuNakubali sana
KweliInawezekana ulichosema,ni vigum sana kuelewa hawa vijana kwa nn hawapo wanapotakiwa kuwepo ila kuna sehem ndogo ndogo wanachemka
I see ungewasikiliza lakini Kaka
hawana matusi mzee mwenzangu 😀😀😀Nitajaribu, ila nina uhakika sitawaelewa.
Hivi kwao ni mbeya ama??Ibranation huyo dogo anajua sana , namfahamu toka kitambo school o level. ana vocal kali balaa.
Alikuwa anatuimbia kwenye matamasha kiskuli skuli. Nyimbo zake nazozikumbuka enzi hizo ni sauti na ni-call
Ila sema ndo hivyo, uwezo anao...tena sana tu... sasa sijajua tatizo ni * au!!!
Chorus aliyopiga Foby kwenye Tunakula Bata zaidi ya Rkelly.
Sijajua bado, ila ilikuwa Iringa hiyoHivi kwao ni mbeya ama??
NOSTER.. Aliyefanya Video mpya ya Chemical.Show Kali mzee director ni nani sasa?
Hawa jamaa nawakubali Sana wanajua Sana sijui wanakwama wapi? Kama issue ya management mbona jux na ben pol hawana management lakini wanafanya vizuri.Ngoma ya foby ya niokoe ni fire haichoshi kuanzia 2017 mpaka mwaka Huu sijaona ngoma Kali Kama hii.Yaani nchi hii kuna watu wanajua mziki mpaka basi.. Yaaani..
Toka nilipomjua ibrahnation sijawahi kuona wimbo wake mbaya..! Ule wimbo Wa nilipize umetoka 2016 ila unaona Kama jana vile... Kuna ile tabibu dah kiukweli huyu jamaa namkubali saana..
Kuna huyu mwingine foby.
Huyu jamaa ana melody ya hatari Sana.. Yaani kusikiliza nyimbo unajihisi Kama unaimba Wewe vile..
Katoa ngoma mpya inaitwa bora.. Nashaur mkaisilize msije kusema Pancho natoa promo..
Cha ajabu sizijui hata management zao.. Ina maana wamepuuziwa. Tu..
Dah.
Pancho Latino..
Huyo foby amcheki hata mond anaweza kumchukua coz mziki wa SAS hivi ni talent+management yenye nguvu unatoboa vizuri tu,kings music simshauri aendeHawa jamaa nawakubali Sana wanajua Sana sijui wanakwama wapi? Kama issue ya management mbona jux na ben pol hawana management lakini wanafanya vizuri.Ngoma ya foby ya niokoe ni fire haichoshi kuanzia 2017 mpaka mwaka Huu sijaona ngoma Kali Kama hii.
Wimbo wangu pendwa nikiwa alone chumbani.Chorus aliyopiga Foby kwenye Tunakula Bata zaidi ya Rkelly.
Wimbo not nyimboBonge la nyimbo