Flutter: Ni moja ya UI development kit bora kwa applications

Nilikua najaribu kuwaza hapa kama tuki tumia ma java, kotlin sijui swift ku tengeneza app complex system labda za fintech, health etc halfu huyu flutter tukamtumia kwenye mid and small project hapa hatutakua tume save capital na time mkuu ?@Stefano Mtangoo
Unajua kwenye Technology huwa tunasahau kuwa kinacho save muda sio hasa Teknolojia gani (assuming siyo Perl vs Python debate) bali ni tool ambayo itakuwa na less friction in learning, doing and getting help (Docs, Community help na Libraries)

Sasa ukichukua Flutter, inabidi ujifunze Dart. Assuming you enjoy learning Dart (I personally didn't like it) bado una huddle ya kuhakikisha inafanya kazi vizuri kwenye both platforms in terms of UI nativity and smooth functionalities. Kwa Flutter bado huwezi ku enjoy Libraries na wide community help.

Pili kuandika code kwa SwiftUI au Jetpack Compose is too easy and quick kiasi kwamba sioni faida ya Flutter. Nadhani watu wanachoogopa ni kujifunza lugha mbili na toolset za aina mbili. But trust me sio ngumu kivile. Na hizi zote ni modern languages so zinafanana sana. SwiftUI na Jetpack Compose/Old Android zote ni MVVM na hizi mbili ni declarative. So kwenye architecture zinafanana mno.

Differences zipo lakini kwa aliye tayari kujifunza ni minute. Hapa nilipo naandika Medium app kwa Jetpack Compose. Nimeanza mchana na sasa namalizia general setup (Dependency Injection, Retrofit stuffs, pamoja na Login UI). Natarajia Kesho by Midnight iwe imeisha.

Ni kwa sababu niko comfortable na Android/Kotlin. Na nina control fully ya namna gani niandike codes. Of course kuna reusable small pieces of code zinasaidia pia.

Short version of it: Kama unaona ni kazi kujifunza multi platform then soma Flutter. Itakufaa. Ila kama unaweza nashauri usome SwiftUI/Swift na Jetpack Compose/Kotlin

Sijakuelewa mkuu, ya ni Google wa dump flutter??,
Yes, kuna link nimeweka. Inaonesha hata Angular wameizika rasmi.
Hawa jamaa mostly hufanya project kwa sababu ina support dira yao. Dira ikibadilika kwenye hilo eneo huwa wanajaribu ku handover kama Ellis Lab walivyofanya kwa CodeIgniter. Wakikosa huwa zinazikwa!

Sio wao pekee, ni kampuni zote duniani!
 
Unajua kwenye Technology huwa tunasahau kuwa kinacho save muda sio hasa Teknolojia gani (assuming siyo Perl vs Python debate) bali ni tool ambayo itakuwa na less friction in learning, doing and getting help (Docs, Community help na Libraries)

Sasa ukichukua Flutter, inabidi ujifunze Dart. Assuming you enjoy learning Dart (I personally didn't like it) bado una huddle ya kuhakikisha inafanya kazi vizuri kwenye both platforms in terms of UI nativity and smooth functionalities. Kwa Flutter bado huwezi ku enjoy Libraries na wide community help.

Pili kuandika code kwa SwiftUI au Jetpack Compose is too easy and quick kiasi kwamba sioni faida ya Flutter. Nadhani watu wanachoogopa ni kujifunza lugha mbili na toolset za aina mbili. But trust me sio ngumu kivile. Na hizi zote ni modern languages so zinafanana sana. SwiftUI na Jetpack Compose/Old Android zote ni MVVM na hizi mbili ni declarative. So kwenye architecture zinafanana mno.

Differences zipo lakini kwa aliye tayari kujifunza ni minute. Hapa nilipo naandika Medium app kwa Jetpack Compose. Nimeanza mchana na sasa namalizia general setup (Dependency Injection, Retrofit stuffs, pamoja na Login UI). Natarajia Kesho by Midnight iwe imeisha.

Ni kwa sababu niko comfortable na Android/Kotlin. Na nina control fully ya namna gani niandike codes. Of course kuna reusable small pieces of code zinasaidia pia.

Short version of it: Kama unaona ni kazi kujifunza multi platform then soma Flutter. Itakufaa. Ila kama unaweza nashauri usome SwiftUI/Swift na Jetpack Compose/Kotlin


Yes, kuna link nimeweka. Inaonesha hata Angular wameizika rasmi.
Hawa jamaa mostly hufanya project kwa sababu ina support dira yao. Dira ikibadilika kwenye hilo eneo huwa wanajaribu ku handover kama Ellis Lab walivyofanya kwa CodeIgniter. Wakikosa huwa zinazikwa!

Sio wao pekee, ni kampuni zote duniani!

Shukuran kwa maoni. sema juzi zati hapa dart imenitesa ku-config NFC, nime google lkn wap nilicho kua nakitafuta siku kipata
 
napenda kuhusu dart, jinsi inavyokumbatia syntax za C,C++ na JS kwa pamoja

var x = 0; (JS style) au int x = 0; (C/C++ style)

zimafanya app kadhaa(siyo kubwa) na flutter, za ku link na php api kwa http, nodejs api kwa mqtt

UI yake iko close to native kwa Android , ila iOS hmm , bado

I hope hujatumia cupertino package, inakupa native UI ya iOS, soma documentation mkuu
 
Personally huwa napenda Native language and toolkits. Since kuna mobile platforms mbili tu, always huwa na suggest native solutions.

Hii ni toka enzi za Cordiva na ile sijui nini touch.
Native huwa always ni superior kwa sababu una direct access na kila kitu accessible.

Only ObjectiveC ilinifanya nikaachana na iOS platform mpaka ujio wa Swift. Sijawahi kuelewa sababu za kutumia non native wrappers kwenye mobile platforms

Kama una project simple (especially API project) ya kudeploy iOS na Android, flutter is the way to go
 
Google ana app ngapi ambazo kaandika kwa Flutter? Au na yeye no IT wa Bongo?


Utakuwa hujawahi fanya development kwenye hizi platform kujua kwamba anayeweza kuchapa code kwenye hiz platform natively ana upper hand kuliko hawa wa kwenye flutter. Again hii iko wazi kabisa kwa aliyefanya hizi mambo.

Kotlin is simpler than dart to me. So I cannot complicate life by learning Dart when am experienced and enjoy Kotlin. Swift is breeze to me and works just fine with my iOS development. Kujifunza Dart ni kuyafanya maisha yangu yawe magumu unnecessarily!


All the best!

Flutter first release ni 2017, mkapa kuwa stable I think ni 2019, and still ilikuwa na features chache, je mpaka 2019 google alikuwa na apps ngapi hazitumii flutter!? Unafikiri kwa nini kwa huu mda mchache ambapo flutter bado haijawa na features za kutosha google tayari awe na apps nyingi zinazotumia flutter!?
Almost google katumia flutter kwenye apps zake chache kulingana na mahitaji ya features ambazo flutter inapossess, as time goes na flutter kuja kuwa nafeatures nyingi hope almost apps zake nyingi zitakuwa kwenye flutter
 
mnao hitaji kwenda kutumia Flutter sababu ya UI kwa nini usijifunze Kotlin, Kisha utumie Jetpack Compose maana na yenyewe Kwa sasa ina support development ya UI pasipo kutumia XML.
 
Just ku expand, kutengeneza app kwa kutumia hizi intermediary frameworks ni kupoteza control ya development. Mfano kwenye Swif naamua mwenyewe whether naandika moja kwa moja kwa kutmia iOS Networking framework, natumia third party kama Alamofire na Kingfish, et al. Hii option hauna kwenye Flutter and it makes the whole world of difference.

Moreover hata ikitokea kesho Google wakapoteza Interest kwenye Flutter, haiathiri maisha yangu kama developer. Hii inaweza kukushangaza lakini Google wamepoteza interest kwenye products nyingi tu so haitakuwa jambo jipya.


Almost products zote ambazo google kapoteza interest ni zile alizozinunua kutoka kwa competitors wake, lengo lao ni kufanya monopoly, ndo ulikuwa unaweza kukuta products hata tatu zinazofanya kazi ile ile eg hangaouts, google talk na duo
 
hiyo ni kwa ajili ya widgets, fonts, icons, etc
overall nativity ya flutter based app haifikii ya Swift

ni vile tu codebase yake ni hybrid
Sasa kumbe hujajua kuwa flutter app UI zinatengenezwa on top of widgets!?
 
Kama una project simple (especially API project) ya kudeploy iOS na Android, flutter is the way to go
Not really. Ninafanya those kinds of Projects daily, na sijaona need. Kwanza Project nyingi za Bongo na Devs wengi wa Bongo ni Android only.
So bado kimsing sijapata sababu apart from kujaribu kuokoa kuandika code. Since that is not a problem to me, then hakuna any other advantage really. Zinazobakia ni disadvantages!
 
Almost products zote ambazo google kapoteza interest ni zile alizozinunua kutoka kwa competitors wake, lengo lao ni kufanya monopoly, ndo ulikuwa unaweza kukuta products hata tatu zinazofanya kazi ile ile eg hangaouts, google talk na duo
Google Plus
Android of Things
Google Cloud Print

Hizi alizinunua toka kwa nani? Take note ya Android of Things kwa sababu iko kwenye aina mfanano ya project na Flutter
 
Kuna watu mpaka leo wanadhani kutumia flutter au react native wanaona ni uvivu (programmers wa kibongo) Wao wanaamini lazima upige kotlin,java au swift. Tusifanye maisha kuwa magumu guys programming is always about simplicity. Personally mwezi huu maanza kucheza na flutter inshaalha mpaka december nitakuwa mahali pazuri sana. Kuna mzigo kule freecodecamp wa flutter una masaa 37 kama upo interested nenda kauchukue.
Masaa 37, du! Wewe unaejua progranming b tayari saa 37 asie jua je ?
Video yoyote ya masaa mengi inaboa vinginevyo iwe broken up into small part.
Unaweza ukakomaa na video kumbe ni rubbish. Ni vizuri kabla ya kuingia kwenye uwanja uchunguze ubora wa hio video hata kama ni ya bure vinginevyo utakomaa na matango pori baadae uashituka ushapoteeza muda.
For experience ya self learning unatakiwa uwe na kitabu kizuri+ simplified video + best website kama w3, geegs4geeds, Khan nk kisha ujiunge mtandao kama stack, Quora,facebook,inst nk
Hata vitabu unatakiwa uwe makini.
Mfana kujifunza java for beginner wengi wanapropose Head first java ila ukianza kutembea na vitabu vingi utagundua head first java is not systematic na ni rubbish. Kwangu mimi Intr. Java by Liang ni shule kamili inayokufundisha java na Programming kwa ujumla wake ina mifano mizuri, kipo systematic nk ukichelewa kupata kitabu(kama cha liang) au video nzuri unakuwa umepoteza muda sana.
Be the best materual searcher !
 
hiyo ni kwa ajili ya widgets, fonts, icons, etc
overall nativity ya flutter based app haifikii ya Swift

ni vile tu codebase yake ni hybrid
Sasa kumbe hujajua kuwa flutter app zinatengenezwa on top of widgets!?
Not really. Ninafanya those kinds of Projects daily, na sijaona need. Kwanza Project nyingi za Bongo na Devs wengi wa Bongo ni Android only.
So bado kimsing sijapata sababu apart from kujaribu kuokoa kuandika code. Since that is not a problem to me, then hakuna any other advantage really. Zinazobakia ni disadvantages!
Good for you
 
Google Plus
Android of Things
Google Cloud Print

Hizi alizinunua toka kwa nani? Take note ya Android of Things kwa sababu iko kwenye aina mfanano ya project na Flutter
Wakati ni hakimu mzuri ngoja tusubiri, Mungu atujalie uzima
 
Kwa ulimwengu wa sasa google wamefanya matusi sana kutuletea flutter na kama google ndio naweza sema ndio leading kampani kwa teknolojia basi nina kila sababu yakuitumia flutter,
Nilianza nayo kitambo sana kipindi iko flutter 2 yaani sio poa ila kwasasa tulipo, tunacode kama tunaandika barua kwa mpenzi aissha
viva flutter android,ios pamoja na web katika code moja tu
 
Juzi google wamezindua language mpya. (Carbon Experimantal) inakuja ku replace C++ haya C++ developers mjiandae kuhama mdogo mdogo .
 
Habari Maprogrammer,

Natafuta Flutter App developer wa kutengeneza
1. Main App
2. Partners app
3. Admin panel
Hzo app mbili (moja ni kwa ajili ya users, yapili ni kwa ajili ya Partners , kama Uber na uber ya madereva)

Design za App zote ziko tayari, Ni kuandika code TU.

Maelezo mengine yanapatikana inbox.

Tuma tentive budget na expected duration inbox! If accepted other details will follow.
 
Unajua kwenye Technology huwa tunasahau kuwa kinacho save muda sio hasa Teknolojia gani (assuming siyo Perl vs Python debate) bali ni tool ambayo itakuwa na less friction in learning, doing and getting help (Docs, Community help na Libraries)

Sasa ukichukua Flutter, inabidi ujifunze Dart. Assuming you enjoy learning Dart (I personally didn't like it) bado una huddle ya kuhakikisha inafanya kazi vizuri kwenye both platforms in terms of UI nativity and smooth functionalities. Kwa Flutter bado huwezi ku enjoy Libraries na wide community help.

Pili kuandika code kwa SwiftUI au Jetpack Compose is too easy and quick kiasi kwamba sioni faida ya Flutter. Nadhani watu wanachoogopa ni kujifunza lugha mbili na toolset za aina mbili. But trust me sio ngumu kivile. Na hizi zote ni modern languages so zinafanana sana. SwiftUI na Jetpack Compose/Old Android zote ni MVVM na hizi mbili ni declarative. So kwenye architecture zinafanana mno.

Differences zipo lakini kwa aliye tayari kujifunza ni minute. Hapa nilipo naandika Medium app kwa Jetpack Compose. Nimeanza mchana na sasa namalizia general setup (Dependency Injection, Retrofit stuffs, pamoja na Login UI). Natarajia Kesho by Midnight iwe imeisha.

Ni kwa sababu niko comfortable na Android/Kotlin. Na nina control fully ya namna gani niandike codes. Of course kuna reusable small pieces of code zinasaidia pia.

Short version of it: Kama unaona ni kazi kujifunza multi platform then soma Flutter. Itakufaa. Ila kama unaweza nashauri usome SwiftUI/Swift na Jetpack Compose/Kotlin


Yes, kuna link nimeweka. Inaonesha hata Angular wameizika rasmi.
Hawa jamaa mostly hufanya project kwa sababu ina support dira yao. Dira ikibadilika kwenye hilo eneo huwa wanajaribu ku handover kama Ellis Lab walivyofanya kwa CodeIgniter. Wakikosa huwa zinazikwa!

Sio wao pekee, ni kampuni zote duniani!
Leo ndo nakuelewa mkuu.. Nimeachana na Flutter na kuanza kujifunza native development.. kwa sasa nimeanza na SwiftUI.. asee kumbe ulikua ni woga wangu tu.. things are too easy
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom