Kapepo
JF-Expert Member
- Aug 14, 2015
- 1,063
- 1,188
Hatari wakuu naomba kujua kwa wenye utalaam wa hii dawa nimeandikiwa doz ya siku 30 ya fluconazole lakini ukiangalia hivi karibuni nimekuwa nikipata mkojo wa rangi ya njano sana unaoambatana na kijani kwa mbali nimeanda hospital kupima mkojo nmeambiwa mkojo wangu msafi je shida nini wakuu ni hizi dawa au nini