Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 17,415
- 21,109
Anaweza kufanikiwa kama atamsikiliza, tatizo Wilder ana ego halafu haheshimu malegendHii imekaaje kama Wilder atafanikiwa kuwa mwanafunzi wa Floyd Mayweather?
screpa
View attachment 1377937
Ulini inspire siku ile mpaka namimi nikamuwekea imani huyu wilder lakini mambo yakaenda tofauti.Anaweza kufanikiwa kama atamsikiliza, tatizo Wilder ana ego halafu haheshimu malegend
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye boxing lolote linaweza kutokea ingawa sikufikiria kama Fury anaweza kumpiga Wilder kwa namna ile, I was shocked. Pambano la tatu lishatangazwa, litafanyika July mwakahuuUlini inspire siku ile mpaka namimi nikamuwekea imani huyu wilder lakini mambo yakaenda tofauti.
Hivi hajatangaza kufanya rudio la lile pambano?
It's Scars
Mayweather hanunui mechi, he is very smart, anamsoma kila boxer kabla ya pambano na kujua apigane nae vipi kulingana na style yake. Ana skills za kutosha, Wilder is just a big puncherWilder yuko 1000 better than huyu mnunua mechi.
Anachotaka ni kumuingiza Wilder wanunue mechi badala ya kupigwa ashinde ashindwe.
A scumbag of this time boxing era.
Hilo ndilo tatizo la Wilder anapenda sana kuji mwambafy + mapepe mengi.Anaweza kufanikiwa kama atamsikiliza, tatizo Wilder ana ego halafu haheshimu malegend
Sent using Jamii Forums mobile app
Ameshindwa hata kukubali defeat like a champion, analeta visingizio vya kitoto. Sidhani kama anaweza kukubali kufundishwa na Mayweather, kwanza huyu Mayweather hajawahi kumpenda Wilder, sahivi ndo anajidai anampenda kwavile anajua hawezi tena kufikia rekodi yakeHilo ndilo tatizo la Wilder anapenda sana kuji mwambafy + mapepe mengi.
Binafsi mimi ni shabiki wa Wilder ila ni shabiki kindaki ndaki wa Floyd Mayweather, sasa jamaa mwanzoni alikuwa anatamba sana kwamba ataipita rekodi ya Floyd Mayweather kiwepesi sana, so nilikuwa ninatamani sana apoteze pambano hata moja akili imkae sawa .Ameshindwa hata kukubali defeat like a champion, analeta visingizio vya kitoto. Sidhani kama anaweza kukubali kufundishwa na Mayweather, kwanza huyu Mayweather hajawahi kumpenda Wilder, sahivi ndo anajidai anampenda kwavile anajua hawezi tena kufikia rekodi yake
Sent using Jamii Forums mobile app