Riz king
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 275
- 547
Ndugu yangu najua utakuwa unapitia nyuzi zangu nikiwa supporter wako mkubwa tangu kura za maoni. Mh hili jimbo la letu la Nkenge ni rahisi sana kuwashinda upinzani maana asilimia 99 ta kata zake ni vijiji.
Mh hoja yangu ni kuwa hawa Wahaya ni waelewa sana na mara nyingi huwa vigeugeu usijiaminishe kuwa pale Kitobo ulipozaliwa ndo utazoa kura maana Waziba tabia zao unazifahamu, jana umepiga kampeni kwa kupoa sana huku muda mwingi watu pembeni wakilalamika kuwa umepoa tofauti na mgombea wa CHADEMA.
Sasa nakushauri ongeza munkari kidogo ili tuchukue jimbo bla jasho maana naskia wale akina wagombea uliowashnda ndani ya CCM wanakusnitch underground
Mh hoja yangu ni kuwa hawa Wahaya ni waelewa sana na mara nyingi huwa vigeugeu usijiaminishe kuwa pale Kitobo ulipozaliwa ndo utazoa kura maana Waziba tabia zao unazifahamu, jana umepiga kampeni kwa kupoa sana huku muda mwingi watu pembeni wakilalamika kuwa umepoa tofauti na mgombea wa CHADEMA.
Sasa nakushauri ongeza munkari kidogo ili tuchukue jimbo bla jasho maana naskia wale akina wagombea uliowashnda ndani ya CCM wanakusnitch underground