Flip flopping in Oil and Gas contracts

Kuna sheria ya utafutaji mafuta ya mwaka 1980 ambayo ina mapungufu makubwa sana. Hatuna Sera ya Gesi Asilia. Hatuna Mkakati (natural gas masterplan) na hatuna sheria ya matumizi ya fedha zinazotokana na mafuta na gesi.

Ndio kwa sasa tunapinga kugawiwa kwa vitalu vipya mpaka tumalize nyaraka hizi muhimu sana kwa nchi yetu. Vile vile tunatakiwa kumaliza ukaguzi wa gharama za utafutaji zinazofanywa na haya makampuni.

Kimsingi ilipaswa kusimama kufanya lolote kwa sasa maana unafanyaje mambo haya bila sera na sheria madhubuti?
Zitto, najua tayari tunayo gas. lakini je? mafuta tunayo tayari? si muwaache watutafutie kwanza jamani tukiyapata ndo mbele kwa mbele tutapambanaga hukohuko chadema ikiwa imeshachukua nchi (kama na wewe bado utakuwa chadema au utasepa..naongea hivi kutokana na nyendo zako), kuliko sasa ambapo kwa harakati zenu mnaweza mkazuia hata watafutaji wapya ambao wangetusaidia kujua wapi kuna mafuta na wapi hakuna na pengine tungejijua tz kama tunayo mafuta au la. nchi kama kenya wamepata mafuta, wamefanya kitu gani cha tofauti na sisi.....hatuwezi kuwa tunazuia wawekezaji kama tunafanya kila kitu complicated jamani...tusicomplicate maisha saaana kihivyo kuna faida na hasara zake.
 
Kuwekeza katika utafutaji wa mafuta katika mwambao wa nchi yetu na kuendesha uchimbaji wake iwapo itathibitika kwamba uchimbaji wake unaweza kufanyika kwa manufaa ya Taifa na wananchi wake.
 
Kuna sheria ya utafutaji mafuta ya mwaka 1980 ambayo ina mapungufu makubwa sana. Hatuna Sera ya Gesi Asilia. Hatuna Mkakati (natural gas masterplan) na hatuna sheria ya matumizi ya fedha zinazotokana na mafuta na gesi.

Ndio kwa sasa tunapinga kugawiwa kwa vitalu vipya mpaka tumalize nyaraka hizi muhimu sana kwa nchi yetu. Vile vile tunatakiwa kumaliza ukaguzi wa gharama za utafutaji zinazofanywa na haya makampuni.

Kimsingi ilipaswa kusimama kufanya lolote kwa sasa maana unafanyaje mambo haya bila sera na sheria madhubuti?

Hapo kwenye RED naomba msaada wako. Hiyo sheria ya Utafutaji gesi ya mwaka 1980 nahisi inaishia kwenye Exploration stage tu na haigusi na kuchora mistali ya mchakato wa uchimbaji na wala ugawaji vitaru. Inawezekanaje kutumia sheria ya utafutaji gas sitakosea nikiita Gas Exploration Act (tena unayosema ni mbovu) katika kuchimba na hata kugawa vitalu? Hakuna kosa la kisheria hapo?

Ushauri wangu kwako, kwa nini kama Shadow Minister wa Fedha na Uchumi usishirikiane na mwenzako Shadow Minister wa Nishati na Madini mkaangalia kwa pamoja namna ya kuja na move ambayo itakuwa ya maslahi mapana zaidi kwa watanzania katika sekta hii ya gesi na mafuta? I mean, kuandaa hoja binafsi kuhusu suala hili na hata kukaa chini na kuwasilisha miswada ya sheria kuhusu sekta hizi? Wanasheria na wataalamu wapo wengi tu.

Ni muda mrefu kelele zimepigwa kuhususu master plan ya gesi/mafuta, sera na hata sheria zenyewe lakini kwa kweli hatuoni kinachofanyika. Sasa tukae chini tusubili hadi Waziri Muhongo na Serikali watakapojisikia kusukuma masuala haya? Au nyie kama wawakilishi wetu mbebe jukumu hili na hata kama litapuuzwa na Wabunge (hasa wa CCM walio wengi) umma wa watanzania utakuwa umejua nani mbaya katika hili?

Maana kwa kweli kama alivyosema Mwanakijiji katika moja ya bandiko lake jana hapa jamvini, Waziri Muhongo na CCM wanacholenga ni kuwin kura za Watanzania kwa kupata sifa hata kama alichokifanya hakina tija pana. Kwa mtanzania wa kawaida akisikia Waziri Muhongo ameng'aka na ametangaza kufanya Reviews kwenye mikataba yote anaona ni sahihi na ndicho kinachopaswa kufanywa.Kumbe ni tofauti.

Kumbuka kwa mujibu wa Sera za CCM kuhusu Rasilimali anachokifanya Waziri Muhongo kwa sasa kinaweza kuwa ni sahihi, vema na haki.
 
Zitto, najua tayari tunayo gas. lakini je? mafuta tunayo tayari? si muwaache watutafutie kwanza jamani tukiyapata ndo mbele kwa mbele tutapambanaga hukohuko chadema ikiwa imeshachukua nchi (kama na wewe bado utakuwa chadema au utasepa..naongea hivi kutokana na nyendo zako), kuliko sasa ambapo kwa harakati zenu mnaweza mkazuia hata watafutaji wapya ambao wangetusaidia kujua wapi kuna mafuta na wapi hakuna na pengine tungejijua tz kama tunayo mafuta au la. nchi kama kenya wamepata mafuta, wamefanya kitu gani cha tofauti na sisi.....hatuwezi kuwa tunazuia wawekezaji kama tunafanya kila kitu complicated jamani...tusicomplicate maisha saaana kihivyo kuna faida na hasara zake.

Uwezekano mkubwa wa Mafuta ni Block 7. Pia blocks 8, 9, 10, 11 na 12 ambazo zipo Zanzibar. Vile vile Lake Tanganyika na Lake Rukwa. Haya maeneo yote ya mikataba tayari.

Lake Rukwa yenye blocks 2 mafuta yanatafutwa na kampuni ya Heritage ambayo inamilikiwa na rafiki yake sana Mwanakijiji.........
 
We do have lawyer, and competent lawyers for that matter. But, our problems is that even those competent lawyers have either been compromised or have decided to also work for self interests. Only few of them thinks of wider public interests when dealing with such issues
 
Huyu Waziri mimi sigombane naye nini? Sina jambo la kugombana naye. Mimi ni Mbunge wa upinzani na kazi yangu kubwa sana ni kuonyesha kuwa CCM na Mawaziri wake wote hawawezi kuongoza nchi yetu kwa manufaa ya wananchi. Pia sipendi mtu awafanye Watanzania mabwege. Anajua kabisa kwamba hawezi fanya asemacho lakini anasema tu ili kuonyesha kuwa Serikali ya CCM inafanya kazi wakati haifanyi kazi. Hivi ndivyo ilivyokuwa kwenye sekta ya Madini na miaka kumi tukawa tunafanya kazi ya ku review tu lakini dhahabu inasombwa. Hili ndio ninalolikataa

????!!! Kusema kweli i am always for changes, lakini Zitto wakati mwingine unanipa wasiwasi. 2015 to me should be opposition's. I dont care whtether its you CDM, CUF or whatever.

Nimekuja kugundua tu kuwa kama vile hukubaliani na maamuzi makubwa yanayoweza kufanywa na mtu kutoka ndani ya CCM mpaka uone kua maamuzi hayo mumeyatoa wewe and your group. As a neutral this is not healthy.

Dakika chache zilizopita nilitoka kusoma the citizen. I was shocked the way you attacked the minister. See it for yourself below (SOURCE: http://www.thecitizen.co.tz/component/content/article/37-tanzania-top-news-story/25839-review-of-oil-deals-sends-shock-waves-to-investors.html)

Review of oil deals sends shock waves to investors
Send to a friend
Tuesday, 18 September 2012 22:28

oil-pipa1.jpg
The Citizen Reporter
Dar es Salaam. The oil and gas sector was reeling in shock yesterday following a government decision to review its contracts. Ophir Energy, a UK-based oil and gas exploration firm that has operations in Mafia Island and Ruvuma basin, was the hardest hit: Its shares at the London Stock Exchange (LSE) tumbled by 6.2 per cent on Monday. Energy and Minerals Minister Sospeter Muhongo announced at the weekend that he had directed the board of the Tanzania Petroleum Development Corporation to review the production agreements with the firms to ensure the country got a "fairer share".

Analysts praised the decision, describing it as a milestone in the country's efforts to benefit more from its resources.
Industry sources told The Citizen that investors are always cautious about policy statements but the decision was right. The chief executive officer of Tanzania Securities, Mr Moremi Marwa, said: "To investors, the minister's statement was discouraging for it supposes that we are a country that lacks consistent and sustainable policies.....However, as a Tanzanian, I'm in complete support of the initiative because it seeks to make sure that Tanzania benefits more from its rich natural resources."

He was quick to allay fears that the review may hurt Tanzania's investment climate. "Foreign investors do undertake a thorough analysis of the risks associated with investing in a country," he said, "so I'm certain the aspect of consistence and sustainability of Tanzania's policies was well considered by all investors."

Ophir Energy issued a statement declaring that it has met all requirements for operating in Tanzania and welcomes the review process. The firm's remarks echoed a collective statement through the Tanzania Chamber of Mines and Energy (TCME) that it had no problem with the government reviewing the production sharing agreements because they are "public documents in public domain".

But the TCME chairman, Mr Joseph Kahama, urged the government to work with the firms in a transparent and participatory manner and set a timeline for the exercise. "The production sharing agreements are public documents in the public domain and so we have no problem with the review," he said. "We can only urge the government to desist from doing this unilaterally. Consultations must be made in a timely and transparent manner."

Ophir Energy and its partner BG Group have made six consecutive gas finds off Tanzania and recently raised their estimate of total resources to between 13.5 and 21 trillion cubic feet. The find is enough to sustain a liquefied natural gas project to export the commodity on tankers.

But, in an interesting rejoinder, the Shadow Finance and Economic Affairs minister, Mr Zitto Kabwe, said the minister's remarks were unfortunate and bent on creating unnecessary uncertainty in the sector.

In a statement emailed to The Citizen, he added: "These irresponsible statements by the minister for Energy and Minerals will cost our country dearly not only in developing the crucial oil and gas sector but also in attracting foreign direct investment. What is needed in Tanzania is transparency of contracts, sanctity of contracts and building the crucial capacity of TPDC and not mere words from the minister who actually signs the contracts."

According to Mr Kabwe, the review of the contracts will earn the country no points and the only winner in the process will be the minister, who will gain only short-lived publicity.

"What the minister is unaware of is the fact that many reviews have been done and nothing has been done about it," he added, noting that the Parliamentary committee on Public Organisations (POAC) had asked TPDC through the office of the Controller and Auditor General to audit all contracts.
Of the 26 contracts, though, only four were reportedly audited and one (PanAfrica Energy) was found to have inflated costs to the tune of $26 million.

Mr Kabwe added: "The review will add nothing except a short-lived publicity for the minister for his cowboy approach while throwing the sector into huge uncertainty and slowing down momentum. The oil and gas companies are very cautious and one thing is certain: They don't work in uncertain environments where contracts are under threat of being revoked."

What Tanzania needs is transparency, he said. The contracts must be made public and the new law must give Parliament the powers to approve the contracts. "That is the transformation we need to ensure that our country benefits from its resources," he said. "If the minister is serious about walking the talk, he must bring these amendments to Parliament, instead of uttering irresponsible statements in press conferences."

According to Mr Kabwe, the other radical transformation Tanzania needs is to enact the Petroleum Revenue Management Act.

As Tanzania is competing with neighbouring Mozambique to build the first Liquefied Natural Gas plant to supply the Far East Asian markets, he added, it was time the country started walking the talk instead of making statements that discourage investors.
Reported by Samuel Kamndaya

 
Ina maana huyu rafiki yake mwanakijiji inawezekana(inawezekana) kaingia mkataba mbovu wa kuinyonga serikali? Na kama je?.. Ok maswali yameniishi because all in all mwanakijiji has nothing to do with this. Just CCM they have to go wajameni hii ni too much.
 
Uwezekano mkubwa wa Mafuta ni Block 7. Pia blocks 8, 9, 10, 11 na 12 ambazo zipo Zanzibar. Vile vile Lake Tanganyika na Lake Rukwa. Haya maeneo yote ya mikataba tayari.

Lake Rukwa yenye blocks 2 mafuta yanatafutwa na kampuni ya Heritage ambayo inamilikiwa na rafiki yake sana Mwanakijiji.........
kwa hiyo ni uwezekano mkubwa tu...yaani hakuna uhakika kama mafuta tunayo. bado tunatafuta. kipi chenye faida kama tukiacha tu watu watafute, na pale watakapoyapata ndio tuingie mikataba ya namna ya kuchimba na kuuza, kwani kwenye hiyo mikataba ya utafutaji hakuna reservation zozote zile? mbona kama tuliambiwa kuna reservation kadhaa ambazo zitatulinda kama mafuta yatapatikana na tukaanza kuchimba....kuna hasara gani kama tukiacha watafute kwanza na tukipata ndo tunakaa chini na kupanga na bila shaka sheria hiyo itakuwa imeshatungwa.....kama sikosei, tuliambiwa kuwa, mojawapo ya reservation wameambiwa kuwa, sheria itakayo guide uchimbaji wa mafuta kama yakipatikana utafuata sheria husika itakayokuwa imetungwa kwa kipindi hicho. pamoja na kwamba sheria hiyo itakuwa retrospective/retroactive lakini kwenye mikataba ipo hiyo exceptional clause kutulinda. it's just a matter of how you agree on the contract mheshimiwa! au unafikirije hapo?
 
Ina maana huyu rafiki yake mwanakijiji inawezekana(inawezekana) kaingia mkataba mbovu wa kuinyonga serikali? Na kama je?.. Ok maswali yameniishi because all in all mwanakijiji has nothing to do with this. Just CCM they have to go wajameni hii ni too much.

dah! tz bana, ina maana mwanakijiji kamleta rafiki yake hukushamba la bibi? au zitto ana maanisha adui yake mkubwa.
anyway. turudi kwenye mjadala tu, sikuona mantiki ya zitto kumtaja rafiki wa mwanakiji............
 
Ndiyo maana huwa nawashangaa wanamsifia huyo Muhongo na Mgimwa!!! The fact kuwa wana-serve ndani ya serikali ya mafedhuli hakuna jipya!!
 
Man you are fighting a losing battle! Ningekuwa wewe ningejifikiria mara mbili kuhusu kuendelea na siasa hapa Tanzania kwani jinsi ninavyoona kwa upande wako ni hakuna jinsi ambavyo unaweza ukawabadilisha Watz tena na kurudisha zile siku ambazo wengi walikukubali, the damage is done man wanasema Wazungu, mambo mengi sana yanasemwa kuhusu wewe, shutuma nyingi zenye madoa zinaelekezwa kwako na sioni jinsi unaweza ukarudi kwenye kiwango cha kukubalika na wananchi wa kawaida ulichokuwa nacho zamani! Game over man, sorry for that!


Kosa kubwa la ZITTO ni kuwa karibu na SEREKALI YA CCM kwa maana ya JK, Kuliko CHADEMA, Huyu Bwana hata wakati wa uchaguzi 2010, watu wakiwa kukia yeye alikuwa kushoto, M4C imefanyika mara MBILI SASA ila sijawahi kumuona hata siku moja, Harakati za CHAMA huko vijijini Sijawahi hata kumsikia sio kumuona tu, Unategemea nini?
 
Uwezekano mkubwa wa Mafuta ni Block 7. Pia blocks 8, 9, 10, 11 na 12 ambazo zipo Zanzibar. Vile vile Lake Tanganyika na Lake Rukwa. Haya maeneo yote ya mikataba tayari.

Lake Rukwa yenye blocks 2 mafuta yanatafutwa na kampuni ya Heritage ambayo inamilikiwa na rafiki yake sana Mwanakijiji.........

Ha ha ha ha
Zitto, ahsante kwa taarifa hii, lakini ukumbuke hata kwenye mkataba wa Chuma Ludewa, tunaelewa kuwa wewe ulikuwa mmojawapo "pivotal" ku-accomplish ile deal ya mchina 80% na TZ 20%; Mchina anachukua udongo wote kwenda kwao, nasikia chuma kuzalishwa Tanzania ni ndoto. Sisi tumekuwa wauza mali ghafi.U

le mkataba ulikuwa muhimu kwetu kama Nchi. Sasa kuanzisha hii topic wakati na wewe ni ulisaliti kwenye chuma, sioni kama wewe huna hiyo "flip flop". Correct me on this otherwise I,ve lost hope on you!!

The patriotic leaders for this country are not yet born!!
 
ni kama udhaifu umeonekana kwa Waziri Prof. Muhongo pekee

na sio serikali(cabinet,AG) ya j.K
 
Prof Sospter tayari wamembana mbavu,CV yake haikupaswa kuingia kwenye serikali ya CCM ,labda aachwe hapo serikali mpya ikiingia
 
Ha ha ha ha
Zitto, ahsante kwa taarifa hii, lakini ukumbuke hata kwenye mkataba wa Chuma Ludewa, tunaelewa kuwa wewe ulikuwa mmojawapo "pivotal" ku-accomplish ile deal ya mchina 80% na TZ 20%; Mchina anachukua udongo wote kwenda kwao, nasikia chuma kuzalishwa Tanzania ni ndoto. Sisi tumekuwa wauza mali ghafi.U

le mkataba ulikuwa muhimu kwetu kama Nchi. Sasa kuanzisha hii topic wakati na wewe ni ulisaliti kwenye chuma, sioni kama wewe huna hiyo "flip flop". Correct me on this otherwise I,ve lost hope on you!!

The patriotic leaders for this country are not yet born!!

Kwenye kuhakikisha tunawekeza kwenye makaa ya mawe na chuma kule Ludewa kamati yangu ilitoa pendekezo kwamba mwekezaji akisharudisha mtaji wake anaoweka basi umiliki utakuwa 49% kwa Tanzania na 51% kwa mwekezaji na kwamba kampuni pia itakuwa listed kwa kila upande kutoa 10% kuingia sokoni. Haya ndio makubaliano na yamo kwenye mkataba. Tulifanya intervention at the right time na tukafanikiwa.

Hata hivyo ni vizuri mkataba huu ukawa wazi pia wananchi waweze kuuona ili kuondokana na hisia kama hizi.
 
Kosa kubwa la ZITTO ni kuwa karibu na SEREKALI YA CCM kwa maana ya JK, Kuliko CHADEMA, Huyu Bwana hata wakati wa uchaguzi 2010, watu wakiwa kukia yeye alikuwa kushoto, M4C imefanyika mara MBILI SASA ila sijawahi kumuona hata siku moja, Harakati za CHAMA huko vijijini Sijawahi hata kumsikia sio kumuona tu, Unategemea nini?


Tatizo la watanzania linakuja pale ambapo badala ya kujadili hoja tunajadili watu. Lini tutabadilika? Hivi kuna umuhimu gani wa kuwa mnafiki na kuficha hoja ulizonazo ama pale penye umuhimu wa kujichanganya na mpinzani wako? imekuwa ugomvi? Mimi naungana na wewe kuwa anaweza akawa na mapungufu, lakini nipo kusoma toka mwanzo wa mjadala kuona nini hasa Zitto analenga na hii hoja yake juu ya Waziri Muhongo kukurupuka. Hilo sijaona kuwa linatakiwa kuulizwa ukaribu wake na CCM kuelewa ama kujua hoja ambazo zinajenga. Change begins with you...

Eleza unakubali ama unakataa kuwa Muhongo is flip flopping?
 
Transparency is a solution. We have got lawyers at TPDC and we always use experts to write these contracts for us. Minister wants same body that entered contracts to review them. Wrong. Make them Open and Tanzanians see for themselves. Transparency is the best cure for shoddy deals.

Hon. Zitto;
I do believe some if not all members of parliament have access through committee to review these contracts; the problem we are facing as a country is not transparency we are where we are because of incompetence among our legislatures; I don`t expect much from standard 7 MP; things will change once we get serious to who qualify to be MP; even if the government publish openly those contracts do you expect ordinary citizens to vote before the government honour them? As citizens we have rights to know what the government is doing but when it comes to what is to be done the government has the sole rights to make such decision in our behalf; we citizens voice our concerns through wabunge; this is how things works mhesimiwa; let me remind you one critical issue faced Obama administration in energy sector The Trans Canada pipeline; he abandoned the project not because Americans voted no but there was possibility that the bill would have not passed the congress; you guys need to be serious instead of bribing wananchi with madawati and mabati bring important and challenging issues facing our counrty; we are tired of daily criticism with no parmanent solutions; most of you (MP) play major role on these failure!

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Uwezekano mkubwa wa Mafuta ni Block 7. Pia blocks 8, 9, 10, 11 na 12 ambazo zipo Zanzibar. Vile vile Lake Tanganyika na Lake Rukwa. Haya maeneo yote ya mikataba tayari.

Lake Rukwa yenye blocks 2 mafuta yanatafutwa na kampuni ya Heritage ambayo inamilikiwa na rafiki yake sana Mwanakijiji.........

Mzee Mwanakijiji Kumbe naye analeta Marafiki wake kuja kuvuna? Makubwa haya
 
Wamemnyamazisha? Hakuwa anamaanisha. Najua hakuwa anamaanisha. CCM haipo tayari kufanya maamuzi magumu kwneye mikataba hii.

Ndio maana tunahitaji break ya miaka kadhaa kujiweka sawa kama nchi bila kutangaza vitalu vipya. Hii mikataba ya sasa inahitaji ukaguzi wa gharama kwanza.

Tunaibiwa sana sana huko kwenye ukaguzi wa gharama za utafutaji. Katika mikataba 26 tumekagua mikataba 4 tu na TPDC haijapewa kibali cha kuajiri. Kwenye kikao cha kamati ya POAC tulishauri kwamba CAG apeleke wakaguzi TPDC kama wakazi pale ili kumaliza ukaguzi wa mikataba hii.

Sekta ya Mafuta na Gesi sio sekta ya kukurupuka. Ni sekta inayohitaji umakini sana katika kuishughulikia. Hatuhitaji mapitio bali uwazi.

Mh: Zitto,

Waziri au Rais kukurupuka, serikali kukosa uzalendo ktk mikataba, CCM kushindwa ktk mambo ya msingi nk nk haya yote tunayajua vizuri. Haya usemayo yanaongezea urefu wa kurasa.

Swali, je kwa yale mambo ambayo tayari yana sera mfano elimu, afya, kilimo, madini kuna tofauti na ufanisi ukilinganisha na mambo yasiyokuwa na sera/sheria, mfano hili la gesi asili?

Kama zipo tofauti ya kiufanisi/utendaji ni zipi? Na kama hakuna tofauti ya kuwa na sera na sheria na kutokuwa nazo (ktk dhana ya utekelezaji dhidi ufanaisi) je kuna haja ya kujifanya tunafuata sheria?

Maana tubaibiwa ktk sheria hizo hizo.
 
Sera haitengenezwi na mtu mmoja. Sera hutengenezwa na wadau wote. Moja tu lipasa kuongoza sera 'kwamba nchi inufaike zaidi ya makampuni katika rasilimali hii ya mafuta na gesi'
..Sawa, sera hutengenezwa na wadau wote, hebu chukulia Chadema inashika dola come 2015, Watanzania wanataka wajue nini Sera ya Chadema katika Gesi Asilia na mafuta?, Mimi Nilitegemea wewe ni PRO Mwl Nyerere, labda ungesema tuache hio gesi mpaka tutakapopata uwezo wa kuchimba wenyewe, pia kwa sasa tusomeshe watoto wetu(Say tutoe scholarship kwa wanafunzi 50 wa kitanzania) waende wakasome ng'ambo kuhusu mafuta na gesi ili baadae tuwatumie hawa kama tutaamua kuchimba wenyewe au kutumia makampuni?!
 
Back
Top Bottom