Flaviana Matata Uso Kwa Uso na Jay Z na Mkewe Beyonce It's a dream come true wamarekani wenyewe wanapambana kuwagusa.

Hivi kukutana na Jay z nayo ni ndoto enh. Watanzania hatukosi vioja a see. Kuna mtu naye kasema ni uzalendo. Hivi kweli mtu kukutana na mtu mashuhuri nako kunakuwa ni uzalendo.
 
Hivi kukutana na Jay z nayo ni ndoto enh. Watanzania hatukosi vioja a see. Kuna mtu naye kasema ni uzalendo. Hivi kweli mtu kukutana na mtu mashuhuri nako kunakuwa ni uzalendo.
Bado utumwa upo sema upo kwa style nyingine........

Kwake yeye ni mafanikio makubwa,
 
Back
Top Bottom