Bado utumwa upo sema upo kwa style nyingine........Hivi kukutana na Jay z nayo ni ndoto enh. Watanzania hatukosi vioja a see. Kuna mtu naye kasema ni uzalendo. Hivi kweli mtu kukutana na mtu mashuhuri nako kunakuwa ni uzalendo.
Naona Mkuu tumefanana kitu Fulani.Daaaaaaah tulipofikia patamu