Flaviana Matata Uso Kwa Uso na Jay Z na Mkewe Beyonce It's a dream come true wamarekani wenyewe wanapambana kuwagusa.

Hivi kukutana na Jay z nayo ni ndoto enh. Watanzania hatukosi vioja a see. Kuna mtu naye kasema ni uzalendo. Hivi kweli mtu kukutana na mtu mashuhuri nako kunakuwa ni uzalendo.
 
Hivi kukutana na Jay z nayo ni ndoto enh. Watanzania hatukosi vioja a see. Kuna mtu naye kasema ni uzalendo. Hivi kweli mtu kukutana na mtu mashuhuri nako kunakuwa ni uzalendo.
Bado utumwa upo sema upo kwa style nyingine........

Kwake yeye ni mafanikio makubwa,
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom