mambomengi
JF-Expert Member
- May 16, 2009
- 829
- 242
Chukulia gari hilo lina pasuka tairi barabara ya morogoro na kuteremkia kwenye mitaro mikubwa kama handaki! Afu analaumiwa gari, HATUNA VIWANGO VYA BARABARA PIA NI WABISHI NA WENYE KUJALI MASLAHI BINAFSI KWENYE TAALUMA ZETU. Barabara iliosanifiwa vizuri inamwezesha dereva kuokoa gari pindi inapotokea. If there is no clear zone or adequate recovery basi tutumie magari kama vifaru ili yakabiliane na ajali za kujitakia. Tunahitaji kutibu source ya tatizo wala simatokeo ya tatizo.Kupasuka kwa matairi ya mbele ni kitu ambacho kingetokea mara chache sana kama tungekuwa tuna standards za maana zinazofuatwa na barabara nzuri, pia sina uhakika kama unaweza kuweka matairi mawili mawili mbele kwa sababu za steering.