Habari Jf.Msaada kwa Anayejua Vizuri jamani,Naitaji Kuweka Fedha Yangu 10 million katika Fixed A/c ya Bank Yoyote!Hususani CRDB na NMB.Nianze Kuitumia After 3 years.sasa Sijajua Ni Bank Ngani Iko Vizuri In terms Of Rate..Msaada Wenu Ni Muhimu sana jamani
Habari Jf.Msaada kwa Anayejua Vizuri jamani,Naitaji Kuweka Fedha Yangu 10 million katika Fixed A/c ya Bank Yoyote!Hususani CRDB na NMB.Nianze Kuitumia After 3 years.sasa Sijajua Ni Bank Ngani Iko Vizuri In terms Of Rate..Msaada Wenu Ni Muhimu sana jamani
[URL="http://www.crdbbank.com/index.php?option=com_wrapper&view=wrapper&Itemid=115&lang=en"]Interest Rates[/URL]
Habari Jf.Msaada kwa Anayejua Vizuri jamani,Naitaji Kuweka Fedha Yangu 10 million katika Fixed A/c ya Bank Yoyote!Hususani CRDB na NMB.Nianze Kuitumia After 3 years.sasa Sijajua Ni Bank Ngani Iko Vizuri In terms Of Rate..Msaada Wenu Ni Muhimu sana jamani
Habari Jf.Msaada kwa Anayejua Vizuri jamani,Naitaji Kuweka Fedha Yangu 10 million katika Fixed A/c ya Bank Yoyote!Hususani CRDB na NMB.Nianze Kuitumia After 3 years.sasa Sijajua Ni Bank Ngani Iko Vizuri In terms Of Rate..Msaada Wenu Ni Muhimu sana jamani
Usiweke pesa ya tanzania ktk fuxed account.
milioni10 mwaka 2016 itakuwa imeshuka thamani sana.
labda uibadili ktk dola au Euro,nakushauri usiweke bank
nunua Ardhi katu jiji la mwanza,arusha na Dar.
baada ya miaka mitatu, kapime viwanja.utazalisha pesa ktk thamani halisi.
ujishindwa kabisa nunua dhahabu iweke bank
?????!!!...mkuu vipi maendeleo..
ushanunua ardhi?
Nilinunua kaka Na akiba kidogo ikabaki nikaweka sehemu moja ya Biashara !!Nashukuluni sana kwa msaada wenu wa mawazo Mazuri.mkuu vipi maendeleo..
ushanunua ardhi?
Usiweke pesa ya tanzania ktk fuxed account.
milioni10 mwaka 2016 itakuwa imeshuka thamani sana.
labda uibadili ktk dola au Euro,nakushauri usiweke bank
nunua Ardhi katu jiji la mwanza,arusha na Dar.
baada ya miaka mitatu, kapime viwanja.utazalisha pesa ktk thamani halisi.
ujishindwa kabisa nunua dhahabu iweke bank