Hamisi Mhoja
Member
- Nov 22, 2019
- 22
- 23
Habari wadau wa uchumi!Mimi nahitaji kufahamu juu ya fixed akaunti kwa Muda wa Miezi sita naweza kupata faida ya asilimia ngapi kwa milioni saba kati ya NMB na CRDB,Nimeamua kuuliza humu sababu niko mbali na ofisi za Benki.