Elections 2010 Fisadi wa Kagoda jimbo la Igunga naye vipi?

Abdallah M. Nassor

JF-Expert Member
Mar 20, 2008
600
620
Wadau naomba mnipe nyepesi nyepesi za Igunga, Mzee wa Richmond na Kagoda Fisadi Rostam anaendeleaje? Upinzani tunapeta?
 
Baada ya Issa Michuzi Kuona CCM inashindwa kaacha kuweka maoni...kumbe nae ni kina Yakhe...!
 
Baada ya Issa Michuzi Kuona CCM inashindwa kaacha kuweka maoni...kumbe nae ni kina Yakhe...!

Anaugulia zile safari zake za nje ya Nchi za mara kwa mara KWISHNEY...kibarua kimeota manyasi!!!!!!:rip::rip::rip::rip::rip::rip::rip::rip::rip:
 
Back
Top Bottom