Abdallah M. Nassor
JF-Expert Member
- Mar 20, 2008
- 600
- 620
Wadau naomba mnipe nyepesi nyepesi za Igunga, Mzee wa Richmond na Kagoda Fisadi Rostam anaendeleaje? Upinzani tunapeta?
Baada ya Issa Michuzi Kuona CCM inashindwa kaacha kuweka maoni...kumbe nae ni kina Yakhe...!
Baada ya Issa Michuzi Kuona CCM inashindwa kaacha kuweka maoni...kumbe nae ni kina Yakhe...!
Kule fisadi huyu ni Mungu wao, labda kibaraka wake wa Kigoma Mjini.