Mzalendo80
JF-Expert Member
- Oct 30, 2010
- 2,508
- 1,337
Fisadi Kikwete aliposema hivyo alikuwa yupo sawa au ni kuidharau Jamii? Na kama ameidharau jamii je anafaa kuwa kiongozi wakati huko nyuma alishawahikuwa fisadi na bado ataendeleza ufisadi maana ukiwa mwizi huweiz kuacha wizi hata kalamu utaiba tu