Hute
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,537
- 6,458
BAADA YA KUWA NA KESI YA WIZI WA CONTENA LA MADINI YA SHABA, YALIYOKUWA YANASAFIRISHWA TOKA ZAMBIA KWENDA BANDARI YA DSM, sasa mwenyekiti wa mpira Kibaha HASSANOO amefikishwa na leo tena kwa kushiriki kutenda kosa la wizi na uuzaji wa meno ya tembo yaliyosafirishwa na kukamatwa huko Hong Kong. kesi yao imetajwa leo huko kisutu.....
TAFAKARI: ukiona wenzio wanaendesha magari mazuri, usifikiri yote ni ya kihalali. nchnji hii inaliwa na wenye meno.
TAFAKARI: ukiona wenzio wanaendesha magari mazuri, usifikiri yote ni ya kihalali. nchnji hii inaliwa na wenye meno.