Fisadi asituingilie watz na upendo wetu.

Magulumangu

JF-Expert Member
Jan 7, 2010
3,047
452
Mandugu pamoja na uelewa wangu mdogo na utembeaji wangu mdogo nje na ndani ya nchi, Sijawahi kuona au kusikia Wana forums fulani wamekutana kama au kupendana kama JF, je, dada, kaka, mama, baba , mjomba, shangazi, pamoja na wadogo zangu huu upendo watz tulio nao si wa KUIGWA jamani? Kwani wakristu na waislamu tunaongea vizuri tu, je hawa mafisadi wanataka kuupoteza huu upendo? Je kama mtz asili yake UPENDO tuko tayari kuiona hii UPENDO inaenda hivi hivi?
 
Back
Top Bottom