Nipe Andiko
Senior Member
- Jan 20, 2017
- 133
- 133
Nilikuwa nawaona wanavyokuja wameyabeba, hata wao wenyewe wanaona aibu wakifika kwenye wanafunzi wengi ile siku ya kuripoti, anatamani hata alifiche tranka lake, ila sema tu haiwezekani.
Wengi baada ya kuchekwa sana, kesho na kesho kutwa, najua watayatupa, ili kuepuka kuendelea kukejeliwa!
Wengi baada ya kuchekwa sana, kesho na kesho kutwa, najua watayatupa, ili kuepuka kuendelea kukejeliwa!