First lady naomba nafasi ya firstman kama iko wazi

tgeofrey

JF-Expert Member
Jan 29, 2008
561
15
Chonde choNDE chonde first lady mnaomba hiyo nafasi ya first man kama iko wazi
 
Me namtakaga sana FIRST LADY, ila ni avetor tu iliyonivutia sasa sijui kama yeye pia nilizuri.

first lady I LOVE U.
 
kiukweli mimi sio mzuri kama unavyodhani

bad lucky

Kiukweli binadamu wote walioumbwa na Mungu ni wazuri hakuna mbaya. Naamini mpaka umejiita FirstLady1 inaonekana uko bomba sana. Ngoja na mimi nikutafute, teh teh teh.
 
kiukweli mimi sio mzuri kama unavyodhani

bad lucky

Inawezekana ila kwa taarifa yako wanaume huwa kwanza wanatamani sura na baadaye kutafuta vitu ambavyo vinaweza kumfanya mtu akupende. Na hivyo vinapatikana baada ya kumzoea mtu. Kwa hiyo wale walikuzoea walau kwa michango yako humu ndani (pia kwa kuingizwa mkenge na avatar yako) unaweza kukuta wako hoi bin taabani. Hata hivyo kama mtu atanambia kuwa anapenda kwenye net kama hii, kwangu sioni tofauti na yule anayeamua kunitukana. It doesn't make good sense to me!
 
Kiukweli binadamu wote walioumbwa na Mungu ni wazuri hakuna mbaya. Naamini mpaka umejiita FirstLady1 inaonekana uko bomba sana. Ngoja na mimi nikutafute, teh teh teh.

hahaha GM7 na wewe ?
 
yani kama hiyo picha niyako firstlady akiyanani mapinduzi lazima yafanyike ila akuna kumwaga damu itabidi nikupm mh!
 
hahaha huyu kanidondokea kwenye mapinduzi ya zanziberi sijui kuna nn hapa ?
mungu wangu nilikuwa sina habari kumbe wenzangu wameanza kusahiliwa loo ngoja nikanunue pamba za kufa mtu na bonge la zawadi mshangao(suprise)
 
Back
Top Bottom