Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,595
- 215,272
Tuna bahati kubwa sana ya kupata ma First Lady kutoka taaluma ya ualimu. Kutoka mama Maria Nyerere, mama Salma Kikwete na sasa mama Janet Magufuli.
Wanapoingia Ikulu ni wazi kuwa wanakuwa na majukumu mapya. Sasa zile ajira zao huwa wanachukua early retirement?
Wanapoingia Ikulu ni wazi kuwa wanakuwa na majukumu mapya. Sasa zile ajira zao huwa wanachukua early retirement?