First eleven ya jf

hashycool

JF-Expert Member
Oct 2, 2010
6,555
2,829
gk...mzee mwanakijiji
lb...rutashubanyuma
rb..arsene wenger
cb..kaka kiiza
cb..acid
dm.paka mweusi
lwb..mlalahoi
rwb..EL TORO
cm..malaria sugu
ss..rev masanilo


coach...invisible

referees
mod 1
mod 2


cheer leaders
rose1980
maria rosa
fab
afrodenz
dena ams
first lady
wise lady
preta
mwanajamii
 
gk...mzee mwanakijiji
lb...rutashubanyuma
rb..arsene wenger
cb..kaka kiiza
cb..acid
dm.paka mweusi
lwb..mlalahoi
rwb..EL TORO
cm..malaria sugu
ss..rev masanilo


coach...invisible

referees
mod 1
mod 2


cheer leaders
rose1980
maria rosa
fab
afrodenz
dena ams
first lady
wise lady
preta
mwanajamii

dah mkuu umeniweka ubao? nahama timu. nahamia michuzi kwa loan
 
nina wasiwasi na malaria sugu kutufungisha....kama vipi hamalizi 30 za mwanzo

acha niwarm up. hili kocha letu mara linakupiga ban. nizamu ni muhim. na huyo golkeeper mwanakijiji si ataimba mashairi golini huyo?
 
acha niwarm up. Hili kocha letu mara linakupiga ban. Nizamu ni muhim. Na huyo golkeeper mwanakijiji si ataimba mashairi golini huyo?

hawa wa mwanzo wamekomalia lakini wengi utaoona wanachemsha dakika za mwanzo....wengi vitambi!
 
Kweli hamnipendi yaani hata ugolikipa mmeninyima, jamani nimekuwa golikipa tangu primary, nkaja secondari zote ordinary na high, nkaenda chuo ya kwanza nkiwa golini, niko chuo ya pili bado nadaka but hapa jamvini mnaninyima hata ureserve? Saweni!
 
gk...mzee mwanakijiji
lb...rutashubanyuma
rb..arsene wenger
cb..kaka kiiza
cb..acid
dm.paka mweusi
lwb..mlalahoi
rwb..EL TORO
cm..malaria sugu
ss..rev masanilo


coach...invisible

referees
mod 1
mod 2


cheer leaders
rose1980
maria rosa
fab
afrodenz
dena ams
first lady
wise lady
preta
mwanajamii

Unaweza ondoa jina langu? Thanks
 
nipeni nafasi hata kwny kamati ya ufundi.


Aliyepanga timu nina mashaka naye, yaani Malaria sugu apate namba Paka Jimmy akose, mmh! kuna namna hapa!

Mie nitabeba jezi za wachezaji wote isipokuwa ya Malaria sugu manake nina wasiwasi atadaka mpira makusudi ndani ya kumi na nane ili tupigwe penalty!
 
Unaweza ondoa jina langu? Thanks



Ha ha ha! mchungaji hutaki kuongoza safu ya mashambulizi ukisaidiana na Malaria sugu....ha ha ha, wewe bwana ubaki tu na title yako ya JF peace prize winner inatosha, kujihusisha na hizi timu ambazo hata malaria sugu yumo, itashusha sana karama yako ya kichungaji na baadae kondoo wanaweza kukukimbia.
 
gk...mzee mwanakijiji
lb...rutashubanyuma
rb..arsene wenger
cb..kaka kiiza
cb..acid
dm.paka mweusi
lwb..mlalahoi
rwb..EL TORO
cm..malaria sugu
ss..rev masanilo


coach...invisible

referees
mod 1
mod 2


cheer leaders
rose1980
maria rosa
fab
afrodenz
dena ams
first lady
wise lady
preta
mwanajamii


NYONGEZA KWENYE USHANGILIAJI................PRETA kiongozi wa mikakati ya ushingiliaji

Pia kamati ya "Ufundi" .....Dar-es-Salaam na "ThinkTwice"
 
Back
Top Bottom