First Black British Manager in Premier League!

Kana-Ka-Nsungu

JF-Expert Member
Oct 4, 2007
2,257
353
Paul Ince amepata ile nafasi ilyoachwa wazi na Mark Hughes katika club ya Blackburn Rovers kwa kusaini mkataba wa miaka mitatu. Hii inamfanya aweke historia ya kuwa mwingereza mweusi wa kwanza ku manage kwenye premier league, mameneja wengine wawili weusi waliowahi kupata nafasi kama hii ni Jean Tigana na Ruud Gullit. Tumuombee kheri asije akachemsha ili huu uwe mwanzo mzuri kwa ngozi nyingine nyeusi.
 
Paul Ince amepata ile nafasi ilyoachwa wazi na Mark Hughes katika club ya Blackburn Rovers kwa kusaini mkataba wa miaka mitatu. Hii inamfanya aweke historia ya kuwa mwingereza mweusi wa kwanza ku manage kwenye premier leagu, mameneja wengine wawili weusi waliowahi kupata nafasi kama hii ni Jean Tigana na Ruud Gullit. Tumuombee kheri asije akachemsha ili huu uwe mwanzo mzuri kwa ngozi nyingine nyeusi.

Namtakia kila la heri. Mafanikio yake yatawafungulia milango weusi wengine ili wapewe nafasi hiyo.
 
KB- wouldnt you? League 1 for premiership?He deserves it and I think he has done it the hard way, ameanzia chini kabisa- Macclesfield tena wakiwa kwenye janga la kushuka daraja!
MK Dons walipomchukua walitegemea kuwa atawapandisha daraja...
 
Another Man U product....najua mtaanza kuspin mara ooh Liverpool, mara ooh Italy....
I wish him all the best.....
 
Ni hatua nzuri waliyofikia waingereza.

Ni jambo la kujivunia sana kwani urasimu umewekwa pembeni na uwezo wa mtu umezingatiwa.

Wazungu wameonesha ukomavu na kukua kiakili na wamemuwezesha Ince awe koch huku akisomea kozi ya ukocha ili nae apate "badge yake".

Itakuwa ni vizuri zaidi tukiwaona waamuzi na watu wengine wazito ambao ni waafrika, ikizingatiwa kwamba refa mwafrika ni mmoja tu Uriah Renee ambae nae amejitahidi kweli mpaka kufikia hapo alipo.

Welldone kwa hatua hii ambayo pia imeondoa barriers kwa "inority talents".
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom