George Betram
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 3,999
- 4,876
Muziki wa Nigeria una ushindani mkubwa sana, vijana kama Omah Lay, Joe Boy na Fireboy DML wanafanya kazi nzuri sana. Lakini mtu ambaye amebahatika kuteka hisia zangu zaidi ni huyu Fireboy DML, huyu jamaa anatisha sana.
Nimebahatika kusikiliza albamu yake mpya inayokwenda kwa jina la APPOLO, hii albamu haina wimbo mbaya, yaani humo ndani nyimbo zote ni kali. Nathubutu kusema huyu kijana ndiye mfalme mpya wa muziki Afrika. Kwa kijana huyu Olamide ameibua kipaji kikubwa sana.
Nimebahatika kusikiliza albamu yake mpya inayokwenda kwa jina la APPOLO, hii albamu haina wimbo mbaya, yaani humo ndani nyimbo zote ni kali. Nathubutu kusema huyu kijana ndiye mfalme mpya wa muziki Afrika. Kwa kijana huyu Olamide ameibua kipaji kikubwa sana.