Finland tayari wamekatiwa gesi na umeme na Russia

ikifika muda mtamkosoa tu Putin , km mzungu alifungua Afrika ili kutimiza mahitaji yao , amin hawawez kukosa solution kwenye hili , solution ikipatikana itakuwa ni mwendo wa kumsusia Urusi , waarabu wakipata akili tu basi Urusi hana chake
Mojawapo ya sababu za kuvunjika kwa USSR ni Waarabu. Marekani ilihakikisha OPEC wanazalisha mafuta mengi kwenye soko la dunia, mafuta yakawa mengi bei ikaporomoka, Soviet Union iliyotegemea mafuta na gesi kwenye uchumi wake ikapungua mapato. Kule Afghanistan kulianzishwa Mujahideen wapigane na USSR, Marekani kuona hivyo ikawapa silaha hasa MANPADS wapige helicopters za Urusi. Mwishowe wakaondoka Afghanistan na miaka michache wakavunja muungano wao.

Waarabu walikuwa watu muhimu kwa USSR hata silaha waliuziwa nyingi, kina Hafez al Assad (baba yake Bashar) na Saddam Hussein wakawa wanazitumia wanafeli ila USSR inasema tungekuwa nazo sisi wenyewe tungeshinda, nyinyi hamfanyi training ipasavyo. Leo hii pale Ukraine vifaru vya Urusi vinashiriki kwenye turret throwing championship.

Kwa sasa kina UAE wananunua Rafales kutoka Ufaransa, Qatar inanunua F-16 za Marekani, Saudi Arabia ndio kabisa ina kila kitu kutoka Marekani. Kidogo Egypt ndio inapenda silaha za Urusi ila nayo mwaka huu imefanya cancellation ya jets. Waarabu wanapunguza kuitegemea Russia
 
Jana ilikuwa 52 rubles mkuu kwa mwendo huu itafika 30 kabla ya august.
Tangu vita ianze nimeikubali Wizara ya Fedha ya Russia na Benki Kuu yao. Hizi taasisi mbili zinapiga kazi sana kupitiliza ilivyotarajiwa, kinyume chake naona Wizara ya Ulinzi uwezo wao ni wa kawaida au mdogo. Bahati nzuri inaonekana mambo ya fedha hawakuyaweka kisiasa pale kuna watu competent na wenye sifa stahiki.

Kulikuwa na wasiwasi Russia itafika default ila mpaka sasa bado ingawa itafika muda tu wala sio wiki nyingi zijazo. Kwanza US Treasury imesema haitosaini tena special licence ya kuruhusu wanaoidai Russia kulipwa bonds zao kwa USD. Yellen aliyasema wiki hii na wiki kesho leseni inaisha muda. Hapo tutafanya test nyingine ya u-superpower wa Urusi kwenye uchumi. Russia wenyewe wiki hii wameshalipa bonds zilizotakiwa kulipwa next week. Wana uncertainty kubwa ila mpaka sasa binafsi siwadai kitu wale kina Elvira Nabiullina
 
Kwa kitendo Chao cha kupeleka maombi kutaka kujiunga na nato ,mzee Putin amefunga koki za kupeleka gesi na tayari amewakatia umeme Sasa ngoma inogire raia wa finland

Sikuzote kiherehere na hasira hutangulia kuangua. Sasa hao nato wampe umeme na gesi. Muda si mrefu wananchi wataanza kuandamana majiani.
 
Aliahidi atapiga nuclear wakipeleka maombi kujiunga NATO sasa kwanini hadi leo amesita? ama funguo za nuclear anazo mkewe
Putin ni kiongozi mwoga sana na muongo sana wazungu sasa wanamfanya wanavyotaka
Na wameshamjulia kwa sasa wanamuona kama Al Sahaf wa Iraq wa enzi za Saddam,maneno mengi vitendo sifuri
 
Mojawapo ya sababu za kuvunjika kwa USSR ni Waarabu. Marekani ilihakikisha OPEC wanazalisha mafuta mengi kwenye soko la dunia, mafuta yakawa mengi bei ikaporomoka, Soviet Union iliyotegemea mafuta na gesi kwenye uchumi wake ikapungua mapato. Kule Afghanistan kulianzishwa Mujahideen wapigane na USSR, Marekani kuona hivyo ikawapa silaha hasa MANPADS wapige helicopters za Urusi. Mwishowe wakaondoka Afghanistan na miaka michache wakavunja muungano wao.

Waarabu walikuwa watu muhimu kwa USSR hata silaha waliuziwa nyingi, kina Hafez al Assad (baba yake Bashar) na Saddam Hussein wakawa wanazitumia wanafeli ila USSR inasema tungekuwa nazo sisi wenyewe tungeshinda, nyinyi hamfanyi training ipasavyo. Leo hii pale Ukraine vifaru vya Urusi vinashiriki kwenye turret throwing championship.

Kwa sasa kina UAE wananunua Rafales kutoka Ufaransa, Qatar inanunua F-16 za Marekani, Saudi Arabia ndio kabisa ina kila kitu kutoka Marekani. Kidogo Egypt ndio inapenda silaha za Urusi ila nayo mwaka huu imefanya cancellation ya jets. Waarabu wanapunguza kuitegemea Russia
Huwa napenda sana comment kama hizi,ziko deep na kila mara lazima kuna kitu kipya najifunza.
 
Sikuzote kiherehere na hasira hutangulia kuangua. Sasa hao nato wampe umeme na gesi. Muda si mrefu wananchi wataanza kuandamana majiani.
Kama wewe hapa hujawahi kuandamana kwa uncertainty ya maisha ya kila siku iweje uwasemee wao wenye uhakika na kesho yao kuandamana?
 
Tena anawapandisha hasira zaidi watafute solution ingine wakipata tu Russia itaingia kwenye kundi la nchi maskini duniani
Mpaka sasa Ujerumani lazima itafute solution ya nishati. Wajerumani bwana wana mambo ya ajabu, mitambo yao ya nyuklia mingine waliizima kwa sababu ni kinyume na sera zao. Russia anatumia nishati kama leverage na kwenye huu mzozo amewapa sababu za kutomtegemea. Imagine kinachofanya Urusi iendelee kubaki Ukraine ni kwa kuwa bado Ulaya inaitegemea gesi yao. Ulaya wanaona kumbe kama tusingekuwa na utegemezi wa gesi ya Urusi asingetupanda kichwani.

Akibaki Putin atakaza kichwa ila akitokea akaja mwingine labda anaweza fanya majadiliano na wakaaminiana. Hakuna adui wa milele, Ulaya yenyewe gesi cheap wanaitaka
 
Huyo Russia angekuwa na umuhimu huo uusemao basi angekuwa Taifa lenye uchumi wenye nguvu barani Ulaya.Wewe unakuja na assumptions zako kichwani za Poland wananunua Germany ambayo inanunua Russia just to make you feel good baada ya kuona Poland pamoja na kukatiwa hiyo gesi wameendelea kupeta tu.

Finland na Sweden hawatishiki na wataendelea na mchakato wa kujiunga NATO kama kawaida,huyo mwenye gesi yake akate tu abakie nayo tuone kama yeye atakula hiyo gesi na uchumi wake wa kuunga unga kwa sasa.
Taifa kubwa linaenda vitani halafu linaanza kuiba vyakula vya adui yake vilivyohifadhia kwenye stock za kitaifa😀😀😀! Wakisema taifa kubwa ni lazima wajue wanamu compare na taifa gani.
Kwamba hujui tofauti ya USSR na Russia au makusudi tu. Sisi tunazungumzia current Russian Federation wewe unaleta Soviet Union. Basi kama ni hivyo turudi ukouko Soviet era, USSR iliivamia Finland mwaka 1938. Si umeuliza lini Russia imeitishia Finland, basi ni kwamba iliwahi ivamia kwahiyo acha Finland ijiunge NATO
Kinga Ni bora kuliko tiba
 
Mwambie mamako aache upimbi. Upimbi ni huo unaoonyesha. Nani anasapoti nchi ulizotaja kuvamiwa? Una akili wewe? Unaleta ushabiki wa Yanga na Simba kwenye maisha ya watu. Ushetani huo. Anzisha uzi wa Libya kuvamiwa, nitakuja huko kulaani yeyote mwenye kuvaimia Libya kama ninavyolaani mvamizi wa Ukraine. Kwa akili yako ndogo hiyo, unadhani nchi moja ikivamiwa basi inahalalisha nchi nyingine pia kuvamiwa?
Libya siyo nchi huru?
Syria siyo nchi huru?
Afghanistan vp?
Somalia nako?

Upimbi uache
 
Ruble ni currency ya kawaida kwenye uchumi wa dunia. Level zake haipo hata currencies 10 duniani zinazotumika sana. Switzerland haifiki hata 0.5% ya eneo la Russia ila fedha yake Swiss Franc inaizidi mbali umuhimu hiyo Ruble.

Ruble ikue kwa nafasi yake ila sio tishio wala haina impact sana kwenye dunia. Ingekuwa Japan ndio huwa wanafanya devaluation, China ndio kabisa hiyo ni michezo yake ila Russia hata itoke from 1$ = 62 RUB ipande mpaka 1$ = 30 RUB bado dunia haitofeel sana. Vita wakati inaanza walikuwa wanachezea kwenye 80 sasa hivi wako 60 na kitu
Wameanzia 132 mzee now wako half way around 58 against usd
 
Da! sijui nicoment vip!!! ila wazungu sometimes wana akili ndogo zaidi ya sisi weusi! yaan urusi alivyositisha mashambulizi kyivy ndo wakajua urusi haina nguvu..wakachukulia ndo wakati muafaka wa kujiunga nato..kweli wazungu bila pesa wana low IQ kuliko watu weusi...in short urusi alikuwa anatumia wana mgambo wanaotaka kujitenga wa donbas...... mziki kamili wa urusi haujatia maguu hata kidogo wanasubiria nato waingie ndo waanze kutoa pumzi ya moto.....
Hivi kumbe hata wale Majemedari 8+ wa Urusi waliouawa walikuwa ni wanamgambo wa Donbas?
 
Mwambie mamako aache upimbi. Upimbi ni huo unaoonyesha. Nani anasapoti nchi ulizotaja kuvamiwa? Una akili wewe? Unaleta ushabiki wa Yanga na Simba kwenye maisha ya watu. Ushetani huo. Anzisha uzi wa Libya kuvamiwa, nitakuja huko kulaani yeyote mwenye kuvaimia Libya kama ninavyolaani mvamizi wa Ukraine. Kwa akili yako ndogo hiyo, unadhani nchi moja ikivamiwa basi inahalalisha nchi nyingine pia kuvamiwa?

Ningekuelewa kipindi kile Iraq, Syria, Libya n.k. zinavamiwa ungeanzisha uzi wa kupinga. Lkn sasa acha nao wenye kupiga wengine na kufanya organs Smuggling waonje tamu ya jiwe.
 
Russia na hasa putin, anahitaji kuirejesha soviet. Hii ya nato anaongea tu ila ukweli ni huo, anataka airejeshe soviet ndo maana akaibeba crimea.
PROPAGANDA za west hizo
USSR lilikua dubwana KUUUBWA sana kuwahi kutokea hapa ULIMWENGUNI
RF wanajilinda dhidi ya manazi yenye misimamo yakufurutu Ada pale UKRAINE natunaona yanavyojisalimisha kama kumbi kumbi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wote tumeganyika - ama tuko upande wa Shetani ama wa Mungu. Hakuna neutral. Unajua upande uliopo kwa akili yako hiyo.
Ningekuelewa kipindi kile Iraq, Syria, Libya n.k. zinavamiwa ungeanzisha uzi wa kupinga. Lkn sasa acha nao wenye kupiga wengine na kufanya organs Smuggling waonje tamu ya jiwe.
 
Unapokosea ni pale unapohisi West ndo wanaakili ya kuwaza hayo huku ukiwaacha West kuwa hawana uwezo wa kuwaza kesho yao.

Mmarekani bado anaangaika wapi atapata mafuta na juz karudi tena Venezuera kwa Maduro waondoe tofauti zao ili wapate mafuta yake, ila wanasahau kuwa walipiga vikwazo sana 2019 ili tu Maduro wamuangushe ila Urusi ndo ilienda kumsaidia Maduro kubaki Madarakan mpaka leo.

Marekani na washirika wake usikute kesho akaenda kwa Iran wazungumze ili apate mafuta na ikitokea kesho na kesho kutwa wakazozana akawatema akarudi kwa Russia! Kwaiyo zingatia mataifa ya Magharibi hayana rafiki wakudumu zaidi ya maslah yao tu.
Kuna tofauti ya mtafuta bidhaa na mtafuta wateja wateja wapo limited na competitive kupata ila mtafuta bidhaa kama ana pesa basi hana limits zozote , wait and you will see
 
Back
Top Bottom