Zurie
JF-Expert Member
- Jul 6, 2014
- 1,737
- 4,223
- Thread starter
- #81
mawazo yako mkuu yanaonesha ni ya short term relationship na yasio na malengo ya ndoa. kwan kwenye ndoa kuna up and down kweny swala la financial na kuna priorities kama unakaa kujiangalia ww tu utateseka na magojwa tu.
na ukikua ki umri utajua pesa sio lazima kwa mwanamke.
Unamaanisha kwenye ndoa hakuna kuhudumia mke?
Endeleeni kujidanganya. Pesa ni muhimu kwa wanawake. Wanaovumilia ni vile wanaamini hawana namna.