Sir_Mimi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2013
- 7,149
- 15,599
Ni ujinga mwanamke kuthubutu hata kwa bahati mbaya kushindana na mwanaume,unasema kuna wanaume unapenda kuwatumia tu kwa sababu hawakupendi ili wakupe hela unasahau baada ya muda huko chini kutafanana na ndoo ile ya litre 20 huku mwanaume akiwa hana cha kupoteza.
Hiki ni kizazi cha hovyo kuwahi kutokea duniani.
NB:nyie mnaopenda pesa wanaume huwa tunawatumia tu kama tissue ila kipaumbele cha kwanza tunapotaka kufanya maisha tunatafuta walio smart vichwani ninyi sungura tope tunatupa mbali.
Hiki ni kizazi cha hovyo kuwahi kutokea duniani.
NB:nyie mnaopenda pesa wanaume huwa tunawatumia tu kama tissue ila kipaumbele cha kwanza tunapotaka kufanya maisha tunatafuta walio smart vichwani ninyi sungura tope tunatupa mbali.