Financial Security is to a woman, what sex is to a man

Mwanaume asiyetoa pesa hajawahi kuwa mtamu tangu dunia ianze.

Kwanza money is directly proportional to wetness.

Pesa ni muhimu.
Yaani mathematically proven kabisa.
Jinsi mbususu inavyolowana ikishaona pesa hadi raha.
 
Hii topic nilikuwa naijadili na mchuchu mmoja hivi jana jioni. Anataka hela ila Mbususu ananisubirisha.

Nikamwambia tufanye mkono kwa mkono.
Ha ha haa, mkuu umeua ,
Mkono kwa mkono,
Kwa hiyo hela utampa mkononi ukichakata!!
 
SASA ILI KUKWEPA GHARAMA ZOTE HIZO, ZAMA HIZI TUNAKWENDA NA WANAFUNZI NA BEKI TATU . AU UNATAFUTA LIMDADA BAYA BAYA, KIASI UNAKUWA NA MONOPOLY POWER. PESA LINAKUPA NA PENZI LINAKUPA PIA.
 
Naan
Asee dadang kamwe usishindane na mwanaume katika mambo hayo sababu ukisema et kuna wanaume hamuwapendi bali mnawatumia kingono alooo huko chini kwako KUTACHAKAA SANA tofaut na mwanaume ambaye huwezi kuta et chini kwake kukawa kumeharibika.

Pili hapo uliposema kutafuta msaidizi kwa mwanaume kama hajakuoa basi huwa haumii sana. Tena mamen huwa kuna katabia fulan hiv akishakukula alafu hana mzuka na ww anagawa namba kwa machizi wengine nao wakuonje mwisho wa cku utakuta watu kibao wameshatia sign ikulu yako mpak wakaichakaza kufikia hatua inakuwa kama minyamanyama ya BULLDOG kwenye mdomo wake.

All in all ulikuwa na nia nzuri tu yakutufundisha tukuhudumie ni vizuri na ni wajibu wetu lakn ridhika na kila Hali kumbuka kuna kupanda na kushuka e.g Dk Bashiru alienda bungeni akiwa balozi akarudi akiwa m'bunge na Mhe. Mpango aliingia akiwa waziri katoka akiwa makamo wa rais

Ulikuwa na nia nzuri ila umeharibu hapo tu juu.

Hivi hii concept ya kuchakaa inatokea kwa wanawake wote au wale wanaotaka kupewa pesa?

Maana huko ndoani mbona wanawake wanadinywa tu mara kwa mara na hawachakai??

Hlf hakuna atayebaki na upya wake hapa duniani. Msifanye kuzeeka sijui kuchakaa kuwa fimbo ya kuchapia wanawake!
[/QUOTE]
Hamna we ulivysema umemaanisha ikitokea hupat pesa unatafuta msaidizi Sasa itokeee msaidizi nae kaslump kiuchumi utahama kwa mwngne tena na tena hapo ndo concept ya kuchakazwa inakuja..
But tusamehane
 
SASA ILI KUKWEPA GHARAMA ZOTE HIZO, ZAMA HIZI TUNAKWENDA NA WANAFUNZI NA BEKI TATU . AU UNATAFUTA LIMDADA BAYA BAYA, KIASI UNAKUWA NA MONOPOLY POWER. PESA LINAKUPA NA PENZI LINAKUPA PIA.

bora wewe umejua wapi pa kuponea.
 
Kwani lazima upewe na mwanaume si utafute zako

Rudi kwenye point zangu. Hela zetu tunatafuta na za wanaume tunazipenda vile vile.

Si kwamba tunatembea na wanaume ili watupe hela ila tukitembea na wanaume sharti watupe hela. Note the difference!
 
Hivi tabia ya kutanguliza pesa mbele ndiyo imeongeza pia watu kupenda kwa mpalange, mwanaume anakua anaona kama ndiyo malipo stahili kwake hata kama hapendi harufu ya Mavi.
 
Rudi kwenye point zangu. Hela zetu tunatafuta na za wanaume tunazipenda vile vile.

Si kwamba tunatembea na wanaume ili watupe hela ila tukitembea na wanaume sharti watupe hela. Note the difference!
Naomba invoice basi nione kama naweza fikia bei bibie
 
Habari,

I hope Tuesday zenu zaenda poa!

Nataka ku-clarify jambo moja to all the males in here....

Kuna vijimaneno maneno kuwa tunapenda pesa sana, ni wachunaji n.k. Mimi naomba niseme NI KWELI! Kinachokera ni wanaume kuongelea suala la sisi kupenda pesa kama vile ni crime. Yaani mwanadada akiweka maslahi mbele atasakamwa hadi basi. Lakini mbona nanyi ngono ndiyo priority kwenu na tunawapa tu?

Namna sisi tunachukulia pesa, ni vile nyie mnachukulia ngono. Si utani!

Kama ambavyo mwanamke akikunyima wenzio watakwambia "hakupendi" ndivyo na sisi mkiwa wabanaji wa pesa tunawaona hamtupendi vile vile.

Kama ambayo mnaumia mkisikia tumegawa nje, ndivyo nasi tunaumia saaaaanaaa tukisikia eti ulitembea na mwanamke na ukampa pesa. (Inauma sana)

Kama ambayo mkeo asipokupa K baada ya muda fulani unamtafutia msaidizi, ndivyo nasi tunatafuta msaidizi wa kutupa huduma mkilega kwenye kutoa mpunga.

Kama ambavyo wewe unaamua tu huyu mwanadada simpendi ila nitamtumia kwa ngono tu ndivyo nasi huwa kuna wanaume hatuwapendi tunawatumia kifedha tu.

Kama ambayo hutegemei mwanamke wako akumyime ngono muda wowote na kwa sababu yoyote, nasi hatutegemei wanaume wetu kutunyima pesa muda wowote na kwa sababu yoyote.

Kama ambavyo wewe una mikono ya kupiga punyeto na kukojoa ila bado unahitaji K ya mwanamke sababu ni tamu, ndivyo nasi tuna mikono ya kufanya kazi na kupata pesa ila bado tunahitaji pesa ya mwanaume sababu ni tamu.

Na mwisho, Kama ambavyo kuna wanaume wachache wanaoweza kuwa kwenye mahusiano na mwanamke bila ku-prioritize ngono, ndivyo kuna wanawake wachache wanaoweza kuwa kwenye mahusiano na wanaume bila ku-prioritize pesa.

Tuvumiliane, Tutimiziane!

Asante.
Nimerejea Tena baada ya kulog in,

Itoshe tu kusema uzi Waka umajaa ukweli mtupu na naomba popote ulipo upewe ulinzi.

#Ngono Vs pesa
 
Back
Top Bottom