Taifa la Tanzania la Dhalilishwa na Global Investors
Ukisoma news za humu Tanzania utafikiri nchi ime-make efforts kubwa sana kukabiliana na hili swala la uchumi. Ukiangalia maisha ya wananchi Tanzania kote ni umaskini kila mahali lakini statistics za gov. zinaonyesha kikwete kaongeza ajira na kuondoa umaskini hata kama bei zikiwa juu na inflation karibu 18%. Kinachoshangaza zaidi ni kazi mbovu ya Ndulu bank kuu na hii wizara ya fedha. Tunachoshuhudia miaka baada ya miaka bank kuu na wizara ya fedha ni ufichaji wa siri kwa kikwete na serikali yake, are these people in treasure na bank kuu ni wananchi wa namna gani?
Mara nyingi sana wengi tumekuwa tunafuatilia comments za ndulu na kikwete kuhusu uchumi wa nchi and still we can't figure out what's going on in their heads. Hivi siku za karibuni nilisoma statements za ndulu akizungumza jinsi gani donors walivyo na confidence na Tanzania na uchumi wetu. Off course hapo nyuma kidogo na mara kwa mara WB na IMF wamekuwa wakitoa mikopo kwa nchi kama Tanzania kwa sababu wanajua watu kama kikwete na ndulu ni wajinga na wananchi wao watakuja kulipa tu. Hizi evidences tumeziona wakati serikali ya Tanzania iki-paint different picture outside while wakidanganya wananchi. The truth ni kwamba doc zote zinazoonyesha the true status of economy i.e. level of debt, financial statements, trade, contracts zipo mikononi mwa kikwete na ndulu, hawataki wananchi wajue wala kuchangia kwenye solutions. Ukiwauliza wanakueleza 'andika barua na tutafikiria kukujibu' utafikiri tunaongozwa sultan wa Oman.
​Daily News | Plans to issue sovereign bonds still on
Kifupi ni kwamba global investors na financial institutions duniani kote wameamua kukataa kununua bonds za Tanzania kwa sababu inchi ya Tanzania haina thamani yeyote kwa sasa (lost credit worthiness). Ukweli ni kwamba Tanzania sasa inafananishwa na kiwanda kisicho na uzalishaji wala performance yeyote ile, this is simple comparison so far. The facts kwamba ndulu alijigamba na ku-bet some countries na investors wangenunua hizi bonds na wao kuweza kupata pesa za kujilipa mishahara, kulipia mafuta ya ndege ya kikwete na kujenga nyumba na kununua magari mapya sasa imeonekana wazi ndulu ni same shit like kikwete.
What's kikwete new plans? Kutokana na credit mbaya ya inchi kikwete anachukua mikopo local banks kwa interest za juu na inchi zingine za Africa kuomba few dollors kulipia mafuta ya umeme, at the same time kikwete anashuhurikia watu kama Jairo, Rostam na Chengewasafishiwe majina. Another economic solution ya kikwete ni kuuza ardhi ili ku-raise funds zao, Idd Simba na Cheyo (serengeti advisers) na Saimon groups ndio wana-craft hii pattern mpya ya ujambazi na kuendelea na tactics za uongo. The reality hapa ni kwamba wananchi tegemeeni hali mbaya sana ya uchumi na maisha, famine ya fedha, chakula, umeme, maji, usafiri bado sana kuwasili karibu na vitongoji vyetu.
Mara nyingi sana wengi tumekuwa tunafuatilia comments za ndulu na kikwete kuhusu uchumi wa nchi and still we can't figure out what's going on in their heads. Hivi siku za karibuni nilisoma statements za ndulu akizungumza jinsi gani donors walivyo na confidence na Tanzania na uchumi wetu. Off course hapo nyuma kidogo na mara kwa mara WB na IMF wamekuwa wakitoa mikopo kwa nchi kama Tanzania kwa sababu wanajua watu kama kikwete na ndulu ni wajinga na wananchi wao watakuja kulipa tu. Hizi evidences tumeziona wakati serikali ya Tanzania iki-paint different picture outside while wakidanganya wananchi. The truth ni kwamba doc zote zinazoonyesha the true status of economy i.e. level of debt, financial statements, trade, contracts zipo mikononi mwa kikwete na ndulu, hawataki wananchi wajue wala kuchangia kwenye solutions. Ukiwauliza wanakueleza 'andika barua na tutafikiria kukujibu' utafikiri tunaongozwa sultan wa Oman.
​Daily News | Plans to issue sovereign bonds still on
Kifupi ni kwamba global investors na financial institutions duniani kote wameamua kukataa kununua bonds za Tanzania kwa sababu inchi ya Tanzania haina thamani yeyote kwa sasa (lost credit worthiness). Ukweli ni kwamba Tanzania sasa inafananishwa na kiwanda kisicho na uzalishaji wala performance yeyote ile, this is simple comparison so far. The facts kwamba ndulu alijigamba na ku-bet some countries na investors wangenunua hizi bonds na wao kuweza kupata pesa za kujilipa mishahara, kulipia mafuta ya ndege ya kikwete na kujenga nyumba na kununua magari mapya sasa imeonekana wazi ndulu ni same shit like kikwete.
What's kikwete new plans? Kutokana na credit mbaya ya inchi kikwete anachukua mikopo local banks kwa interest za juu na inchi zingine za Africa kuomba few dollors kulipia mafuta ya umeme, at the same time kikwete anashuhurikia watu kama Jairo, Rostam na Chengewasafishiwe majina. Another economic solution ya kikwete ni kuuza ardhi ili ku-raise funds zao, Idd Simba na Cheyo (serengeti advisers) na Saimon groups ndio wana-craft hii pattern mpya ya ujambazi na kuendelea na tactics za uongo. The reality hapa ni kwamba wananchi tegemeeni hali mbaya sana ya uchumi na maisha, famine ya fedha, chakula, umeme, maji, usafiri bado sana kuwasili karibu na vitongoji vyetu.
UPDATE 1-Tanzanian 7-year bond auction goes unsold
DAR ES SALAAM Aug 24 (Reuters) - Tanzania sold no seven-year Treasury bonds at an auction on Wednesday as the central bank rejected all bids.
The Bank of Tanzania had offered 20 billion shillings of the fixed-rate Treasury bonds with an 10.08 percent coupon.
It received 26 bids worth 26.155 billion. The bids ranged from 70.0000 to 85.6194 shillings.
One analyst said the rising inflation rate and a liquidity squeeze in the market could explain the high yields demanded by Tanzanian investors for government securities as well as the central bank's reluctance to borrow money at high costs.
"The bid prices quoted by investors for the bond at the auction show that they are looking for yields of up to 15 percent," Moremi Marwa, CEO of Tanzania Securities Limited (TSL) told Reuters.
"There is a liquidity squeeze in the market and the main investors in government securities, which are pension funds, commercial banks and some insurance companies, are expecting returns of above the inflation rate."
Tanzania's year-on-year inflation rate jumped to 13 percent in July from 10.90 percent in the previous month on higher food and fuel prices.
"The core issue is the cost of borrowing for the government," Marwa said.
"Tanzania could also be taking a cue from Europe where investors are sceptical of (lending) money to the government. Governments are no longer risk-free, so investors are demanding a premium for the money they put in treasury bonds and bills." (Reporting by Fumbuka Ng'wanakilala; Editing by Yara Bayoumy and Toby Chopra)
UPDATE 1-Tanzanian 7-year bond auction goes unsold | News by Country | Reuters
UPDATE 2-EABL profit slips on Tanzania acquisition costs | News by Country | ReutersOn Agrisol Energy Tanzania | Serengeti Advisers