Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,472
RelaxKwann umtabirie hayo ?
RelaxKwann umtabirie hayo ?
KiwiraAkishindwa dar wap tena ataweza
Akishindwa dar wap tena ataweza
Mkuu mtu mwenye miaka 35 unaweza kumuita Dogo?Awe na kazi asiwe na kazi kitendo cha kupewa 8kilos kwa mtu anaejitambua anatoboa,but I can see hajazoea huyu kaka maisha ya kujitafutia kazoea kupewa kila kitu bamkubwa anamfunza maisha anaona anaonewa loooh!!!
Kuna watu wametoka home kwao hawana senti Leo wako mbaali.
Dogo ajipange sana
Ushauri mzuri sana juu ya matumizi mazuri ya pesa!Pole na hongera.
Hiyo laki nane si hela nyingi.
1: Usikimbile suala la kuoa
2: Nusu ya hiyo hela ichukulie kama mtaji. Angalia kwa eneo ulilopo, unaweza kufanya nini kikakuingizia pesa kidogokidogo. Jifunze kwa yeyote anaefanya vizuri. Weka mtaji wako nusu 200,000/=, wakati hiyo nyingine 200, 000/= ukiangalia mwenendo wa kazi yako. Ukiona inakwenda vyema, utaongeza mtaji kwa kadri.
3: Hiyo 400,000/=, 150,000/= nunua mahitaji mhimu ya maisha. Hasa chakula, luku na maji kama ni ya kulipia ili vitoshe kwa miezi mitatu hata minne. 50,000/= vitu vidogovidogo utakavyohitaji kwa kila siku.
200,000/= iweke kama akiba yako. Utaipunguza pale ambapo kuna suala la muhimu kweli.
4: Kuwa na nidhamu ya matumizi ya hela uliyonayo kama vile ukijua kuna siku ngumu zinakuja mbele. Nunua kitu ambacho ni muhimu na kinahitajika kweli kwenye maisha yako.
5: Weka kumbukumbu ya kila unachokifanya kwa pesa yako.
6: Ukipita kwa kiasi humo, kufeli au kufanikiwa kwako hautaulaumu sana utendaji wako binafsi.
7: Tafakali kwa kina na tahadhali kwa kila utapohitaji kutumia hela yako.