Positive Thinker
Senior Member
- Nov 3, 2007
- 109
- 15
hongera sana Mwanakijiji tunaisubiri kwa hamu sana
hongera sana Mwanakijiji tunaisubiri kwa hamu sana
Naomba unieleweshe, nilifikiri hawa ni
Lydia Ngosha na Mwanakijiji??
Ila nikaona msela aliyekaa kwenye kiti anasimama mwishoni nikajua sio Mwanakijiji.
Nyani Ngabu, hapo vipi? au tumwulize mtaalam Brazameni?
Nzokangoshanhyilu, nami nimecheck hiyo video... duuh, kiboko.. nimeshindwa kujizuia kuacha komment, sasa sijui kama Mkjj atairuhusu hiyo komment isomeke..asije aiweke kapuni tuu..
SteveD.
Nzokangoshayapi ni kaka wa Lydia Ngosha?