Finally... here is the baby... the countdown...

Gumzo itaunganishwa kwa namna fulani... yeye ni mtoto wa kwanza..

Nadhani bora ingekuwa separate kama back up na hiyo ya KLH news nayo inabidi iwe back up ya JF just incase tukivamiwa tutakuwa na underground tunnel la kijichimbia

lakini kama unaona bora kuunganisha na Gumzo then poa

Halafu kwanini designer wako kaweka pages ambazo zinafunguka kwenye browser mara mbili mbili kwani nini isiwe humo kwa humo

Yale mawe ya Mwanz ni mazuri lakini hebu badilisha picha quality siyo nzuri na hata bandari ya Dar haijakaa vizuri


In short zile short cuts pale juu zishushe ile ile nafasi utaweka front page advert banner ambalo kwa mwezi utakuwa hukosi dola 1000

mengine nitakuambia wakati naendelea kuperuzi au vipi?
 
aiseeh good job comments zote utapata kwenye PM yako hapa ni balaa tupu,ila haraka haraka rekebisha hiyo contrast ya We bring the news first
 
...una deal na pro hapa,kwa hiyo nikifungua tuu naona very clear makosa ngoja nikuache jasho naona linakutoka !

Kwi kwi kwi ...

Mwanakijiji una kazi kweli hapa inabidi uanze kumlipa tech overtime just the first day of work, jamani Koba mpe break mzee wetu asijevunja wheelchair yake bure kwa presha..
 
koba nitengenezee banner yenye mantiki kama hiyo unayoiona dimension ziwe 970x110 .. nitashukuru sana. Maana ma Pro wenyewe ndiyo nyinyi.
 
Yes,
Ni poa.
Nakubaliana na wazo la Brazmn, na picha quality.
Halafu contrast ya rangi nyeupe na jinsi hizo picha mbili ya bizrock na darcity...zinaonekana kama zina-hang hewani katika page zingine. Nadhani ni kiasi cha kucheza na resolution na size ya hizo picha.
Kuna typo ndogo tu kwenye Welcome note 'provie' umekosa ka 'd'.

Nimependa belly-dancers....i mean, nimependa size ya video screen, kwasababu unaona shepu na nini vizuri kabisa.
Picha ya Tingatinga nimependa.
Mengine tunaenda na muda.
 
Kwi kwi kwi ...

Mwanakijiji una kazi kweli hapa inabidi uanze kumlipa tech overtime just the first day of work, jamani Koba mpe break mzee wetu asijevunja wheelchair yake bure kwa presha..

...atafanikiwa tuu ila pressure zake tuu ziko juu,ila unajua jina Mwanakijiji ni jina maarufu sana kwenye media sana sana kwenye siasa na kule TZ wengi hata maofisa wa serikali wanajua kuna mwiba unaitwa mwanakijiji na site nyingi sana kuanzia kwa michuzi,young africans etc wanajua sana hili jina,sasa najiuliza kwanini hakutumia hilo jina kama ndio jina la hiyo website
 
Bravo Mkiji, for bringing us a beautiful baby and home! Hope mpambano wa kifikra utapamba moto vyema sasa, na kwa pamoja tutashinda.
Good job bro!
 
...atafanikiwa tuu ila pressure zake tuu ziko juu,ila unajua jina Mwanakijiji ni jina maarufu sana kwenye media sana sana kwenye siasa na kule TZ wengi hata maofisa wa serikali wanajua kuna mwiba unaitwa mwanakijiji na site nyingi sana kuanzia kwa michuzi,young africans etc wanajua sana hili jina,sasa najiuliza kwanini hakutumia hilo jina kama ndio jina la hiyo website

kwa sababu kuna mjanja california anataka niligomboe (i know you haven't heard that word for a while... LOL)
 
Ebwana Mkjj kutakuwa na forum hapo au...?
Halafu naona hapo kuna player lakini haichezi....vipi? Nilidhani umetuwekea speech ya MLK
 
Ebwana Mkjj kutakuwa na forum hapo au...?
Halafu naona hapo kuna player lakini haichezi....vipi? Nilidhani umetuwekea speech ya MLK

player inacheza, sijui kama wengine wanapata tatizo hilo. Forum ipo ile iko disabled kwa sasa ili watu wasijiandikishe.. nataka tuangalia site inavyoonekana kwa mbele kabla hatujaangalia vikolombwezo vingine..
 
Inaelekea mwanakijiji umekuwa unafanya kazi ovataimu kukamilisa project hii. Sasa hivi iko zaidi ya 95% kwa vile jana sikupata kitu na leo nimeweza kupata samsing.

Server yako mpya inaelekea kwenda polepole kidogo kuliko ile KLH news niliyozowea, kabda hapa una graphics nyingi au kwa vile bado tuko kwenye transition, sina uhakika.

Hata hivyo hongera sana na shukrani kwa kutuweka karibu zaidi na kaya.
 
player inacheza, sijui kama wengine wanapata tatizo hilo. Forum ipo ile iko disabled kwa sasa ili watu wasijiandikishe.. nataka tuangalia site inavyoonekana kwa mbele kabla hatujaangalia vikolombwezo vingine..

Ok...nadhani tatizo lilikuwa kwangu. Imenibidi ni-disable feature (security) fulani halafu ni download feature nyingine. Asante kwa kutuwekea hiyo speech. Nimeiangalia yote na nimesisimka. I needed that to kick off my weekend.
 
Inaelekea mwanakijiji umekuwa unafanya kazi ovataimu kukamilisa project hii. Sasa hivi iko zaidi ya 95% kwa vile jana sikupata kitu na leo nimeweza kupata samsing.

Server yako mpya inaelekea kwenda polepole kidogo kuliko ile KLH news niliyozowea, kabda hapa una graphics nyingi au kwa vile bado tuko kwenye transition, sina uhakika.

Hata hivyo hongera sana na shukrani kwa kutuweka karibu zaidi na kaya.

asante Kichuguu, kama graphic zinasumbua naona nitakwenda kicnn na kuondoa graphics kwenye news categories kama itasaidia kuongeza speed.
 
Back
Top Bottom