Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,474
- 39,987
- Thread starter
- #21
koba.. sasa hapa umeanza kuzungumza kama mtu mwenye neurons that are still firing and are connected properly in your "grey matter". Kwa vile wewe umeamua kukosa "down" page, that is fair ila mwanzoni ungeanza hivyo badala ya kuwa mkandiaji nambari uno!
a. Hiyo message siyo utakayoiona kwenye website na graphics zimekuwa improved na bendera yetu ukiiona utaitambua.
b. Bahati nzuri ninatumia lugha mbili (bilingual) kama wewe ulivyofanya hapo juu na hiyo ni mojawapo ya vitu tofauti. Kusoma habari za Kiingereza na Kiswahili zote ziko mahali pamoja because we are a bilingual nation..
a. Hiyo message siyo utakayoiona kwenye website na graphics zimekuwa improved na bendera yetu ukiiona utaitambua.
b. Bahati nzuri ninatumia lugha mbili (bilingual) kama wewe ulivyofanya hapo juu na hiyo ni mojawapo ya vitu tofauti. Kusoma habari za Kiingereza na Kiswahili zote ziko mahali pamoja because we are a bilingual nation..